Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
unaijua sababuKwann? [emoji23][emoji23][emoji23]
unaijua sababu
unaijua kama huijui ifuate pm😉Itaje basi [emoji12]
unaijua kama huijui ifuate pm😉
u fresh tamu sana ujue 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Afanye budget kwenye kodi ya meza.Kujipendezesha bila pesa miss! k asema anapaka mafuta ya watoto hana hela ya lotion😢
u fresh tamu sana ujue [emoji23]
na unavyopenda kunyonya 😂 😂 😂Haswaa ya 200 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
na unavyopenda kunyonya [emoji23] [emoji23] [emoji23]
sasa si ndio uharakishe mambo 🙂Sinyonyi nafyonza kabisa [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
sasa si ndio uharakishe mambo 🙂
Fanya haya:-
- Piga mswaki vizuri kila unapotaka kukutana naye kwa tendo
- Oga mara kwa mara
- Paka lotion ya cocoa, au inayonukia vizuri
- Tengeneza nywele zako vizuri
- Hakikisha mwili wako unanukia vizuri, na si jasho
- Vaa vimini, nguo fupi za kumshawishi
- Vaa bikini
- Vaa nguo ya kulalia inayomshawishi
- Weka mapozi ya kumchanganya ndani, ya mitego mitego n.k (swaga za mwanamke)
Inawezekana amejiachia rafu sanaHivi unaijua shuntama? Hapo mpk dawa ziishe ndo ataona hizo tips unazomjaza mwenzio
Lile somo la shanga ndo linafanyiwa kazi nje kwa mume wa mleta uzi
Inawezekana amejiachia rafu sana
Mbona mi nampenda mama watoto kuliko kitu chochote, ingawa na michepuko kibao, na sijaona shida yoyote ya kupunguza upendo kwake?Hakuna kitu km hiko
Michepuko haijakurogaMbona mi nampenda mama watoto kuliko kitu chochote, ingawa na michepuko kibao, na sijaona shida yoyote ya kupunguza upendo kwake?
Hii ifanyiwe lamination na kutengenezewa frame na kutundikwa bedroom!!! Hii ni zaidi ya kitchebn party!!Sikia nikwambie, hakuna binadam mzuri kama mke na hakuna binadam mbaya kama mke. Najua hujanielewa.
Mume ndo anayekuona ukiwa huna mekup ukiwa mchafu and unategemea awe sawa na anayekuona umejikwatua unaenda sokoni. Wanawake mkiwa nyumbani mnajiachia sana. Kuwa msafi masaa yote nukia masaa yotez mtege mumeo masaa yote. And usisahau masaa akikaribia kurudi jiandae kwa ajili ya mess ya 6x6
Wapo wanaologa, ila kwa mtoa mada kama atafuata ushauri wangu pale juu, atamiminiwa magoli kumi kila siku.Michepuko haijakuroga