Yours_sincerely
Member
- Jul 12, 2023
- 79
- 299
- Thread starter
- #301
Kuna Nini dm[emoji17]Njoo dm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Nini dm[emoji17]Njoo dm
Usichukulie serious Kila kituAcha kebehi
Asante kakaDa pole dada yangu mungu akutie nguvu mapito tu hayo
🤣🤭Usipooa utaolewa tu!
Unajua age yangu?[emoji4] Mi bado super...Age ishatembea, Ninyi wanawake age ikawaga pale kwenye hot season ndo huongoza kwa kuchoka wanaume, Sasa wanaume huwategea muda age inaenda mrama na wakati huo mwanaume ndo anakuwa wamoto kila kona anahitajika. Pole sana
Pia yeye ana watoto wawili, we unao hao wawili wife?😊Uko wapi? Njoo tulewe wewe upo single km mimi tofauti yetu wewe una vyeti vya ndoa
Ni kweli, nampenda sanakuna kitu umesahau hapo.
Unampenda
AminaUmenifurahisha sana kusema kua umeokoka...ubarikiwe sana na kama kweli umeokoka utafahamu jinsi gani ndoa na maisha kwa ujumla ya wapendwa yanavyopigwa vita na shetani!!
Kitu unachokosea ni kumpa binadamu mwenzio nafasi zaidi ya Mungu wako aliekuumba!!
Umejishusha sana kwake adi sio poa...mpe nafasi, fanya mambo yako tumia muda wako mwingi kumtafuta Mungu...yeye zidi kumuheshimu na kumpenda kama mume... Ila katu usiforce mambo!!
BALI UTAFUTENI KWANZA UFALME WA MUNGU NA NGUVU ZAKE NA MENGINE YOTE MTAZIDISHIWA....!!!
Nimeichukua hii[emoji4]Kama kaokoka mkumbushe atembelee hii
Wakosai 3:18-19
Aache mambo ya kupenda Mume.
[emoji23][emoji23][emoji23]Uko wapi? Njoo tulewe wewe upo single km mimi tofauti yetu wewe una vyeti vya ndoa
Hamnaa[emoji23] mi nikituma CV moja tuu pesa hii apa [emoji23]..bado naheshim ndoa..Nina watoto Wadogo[emoji4] wananihitaji..nkianza kukimbia kimbia watateseka[emoji4][emoji4]Unampenda kweli? Usije ukawa unaogopa kuachwa sababu unamtegemea kuishi
Kama kawaida yenu[emoji4] Mr all perfectKuna chanzo cha hayo yote na sababu na sababu ni wewe ila kama kawaida yenu unamwangushia mwanetu Jumba Bovu na sisi tunasema hakuna
Asanteee sanaPole sana aisee!
Sisi tuliopo kwenye hii taasisi inayoitwa ndoa au mahusiano sirious tunakutana na hii hali sana, kuchokana na kukinaiana.
Tunashauriwa sana tunapojenga mahusiano na tuyajenge katika misingi ya urafiki,undugu, na uhusiano.
Kwamba mpenzi wako amekuchika katika engo ya mapenzi basi undugu mlioujenga unashika nafasi, mnakua kama kaka na dada.
Mkichokana na hapo pia urafiki unashika nafasi yake, ikitoka hapo mapenzi yanarudi kwenye nafasi yake.
Mleta mada ikiwa wewe ni mwanamke una uwezo mkubwa sana wa kurudisha uhusiano wako na mwezi wako kwa sababu njia nyingi zipo upande wenu wanawake tofauti na sisi, nyie mna nyezo na zana nyingi na zisizo tumia nguvu .
Sisi wanaume kwa mwanamke ni wadhaifu mno.
Jaribu kutumia njia za kike kumrudisha himayani mtu wako.
ila anazingua sana kukuita mbwa 😞Ni kweli, nampenda sana
Waaaah, pole sana.[emoji1787] ndoa tamu we mad max, oa uone[emoji39] tatizo Ni iz changamoto tuu.
Sisi Ni wakubwa..tuna watoto wawili...Mimi alinikuta na kilo 60 actually mwembamba..Sasa Nina watoto wawili na kilo zilezile...tofaut Ni kua stress zimenichosha[emoji1787]
Kikubwa Ni alinikuta na pesa..akasema anapenda nikae home hashindwi kunihudumia[emoji4][emoji4][emoji4] si nikakubaliiii kuacha kazi. saiv Sina ata lotion [emoji1787][emoji1787] najipaka Vaseline ya watoto
Uko vizuri saana .miushauri yako ni konki japo upo team kataa ndoa.hehheoya mtie wivu, anza kupendeza. rudi kazini au ata tafuta shughuli ya kutoka asubuhi kurudi jioni coz utakua unatoka umepiga umini au jeans kali unarudi ivo atajua kwamba ana wife pisi akizubaa anaibiwa na madereva crown.
Ila anatoka saa 1 asubuhi kakuacha na dera unafua fua anarudi saa 12 jioni bado upo na dera unasafisha nyumba, nani atakuiba. Mangi au muuza bucha?
dronedrake kaniharibu 🤣Uko vizuri saana .miushauri yako ni konki japo upo team kataa ndoa.hehhe