Nahisi mwanangu ana mahusiano na mtumishi wa umma

Nahisi mwanangu ana mahusiano na mtumishi wa umma

TokaMsoga ..Mzazi ndo mwenye uchungu na mwanae!! Pole sana na Kupongeza kutafuta ushauri..ila Bora UmFace huyo Najisi /Mcharibifu wa binti yako !! Tena mseme mbele ya halaiki(kinamunasi) Ulazimishe aache mahusiano... au peleka mashitaka ustawi wa jamii na kwa wahusika!!
Kakamaa mama uwe mbogo hata kiusanii...!!
Kila la heri na mwanao aookoke apone ktk masaibu haya!!
 
Kes kama hiz mm namalizana na bint yangu kila nikisikia, nkiona, nkihis, nkiambia, nkigungua na mpunguza kiungo kimoja kimoja hadinaandika hapa mwanangu hana masikio yote nikisikia tena natoa pua ili wampende vizur na kama wanampenda watamlinda asikatwe viungo and she nkows
 
Ushahidi pekee wa kubaka ni vipimo vya hospitali. Je bikira imevunjwa, je amepata michubuko, je kuna manii, je tundu limeongezeka. Lakini je hayo manii ni ya mtuhumiwa, je bikira ilitoka lini ( je mtuhumiwa ni muhusika), je bint ana maadili, je anamahusiano na wanaume wangapi( hata kama mwanaume ni mvulana wa miaka 16 ni mwanaume huyo), kama alikuwa na wanaume wengi, je ni yupi aliyembaka. USHAHIDI wa kwamba umemkuta naye labda anaangalia tv kwake sio ushahidi usio na shaka, ushahidi kwamba anampa hela, hela haziwezi kubaka, ushahidi kuwa umekuta meseji kwenye simu ya bint, meseji hazibaki, ushahidi kwamba umewakuta wameshikana mkono, wamekumbatiana, wanabusiana ni za mashaka, picha, video kwamba umewafumania wakiwa utupu zinaweza kusaidia lakini hazithibitishi kuwa wametenda, video, picha ambayo wanazini itasaidia kuthibitisha...Kumbuka kwamba sheria ya makosa ya jinai tanzania ni sheria ya ushahidi....kabla ya kukurupuka kwenda polisi lazima upange na kupangua ushahidi, vinginevyo utajiingiza katika mgogoro mpya na jirani yako. Dont trust bint anakuambia nini....mabint wengi wakibanwa wanaweza kusema chochote hata kama si cha kweli.Mifano ipo mingi....
Nikweli ndugu nimegundua kitu kimoja watu wengi hawaelewi namna yakufungua na mwenendo wa Kesi za jinai...ndio maana wengi wanashindwa Mahakamani kuna kesi zingine watu wawe wanatafuta wanasheria kabla yakufungua kesi itawasaidia kujua nikesi ya namna gani umfungulie MTU na kama utaambiwa ushahidi hautoshelezi kumpeleka MTU Mahakamani kubali matokeo vinginevyo utajitia matatani manake jamaa ukishamtaabisha Mahakamani ukashindwa kuthibitisha kosa anaweza kukugeuzia kibao ukajuta
 
Sikiliza baba usikurupuke, huyo ni mwanao unamjua vyema, angalia tabia yake hasa anapokuwa likizo ndo utajua uanzie wapi. Mwaka jana mwanafunz wa form one alimganda mme wangu, siku moja nipo nyumbani nilipokea meseji ya kimapenzi ya huyo form one kupitia simu ya mme wangu, one thing nilitaka namba na jina la mtoto na picha, vyote nilipata. Nilimpigia huyo kinda nkamsema kweli, nilitaka nimfate huko shule nimpe kisago cha nguvu ila for the sake of baba wa watoto wangu nkaacha. Ukweli ni kwamba wazazi mmejisahau sana, watoto wenu wamrharibika mno, hamna mda nao. Jitahidi kuangalia mwanao kajikwaa wapi na si alipoangukia
 
Obvious, form 1 atakua under 18yrs...
Ivi si kunasheria ya mtu kumpa mimba mwanafunzi ni ambapo 30yrs in prison? fuatilia hili
 
Back
Top Bottom