Nahisi naanza kuchanganyikiwa, wapi nitapata tiba?

Nahisi naanza kuchanganyikiwa, wapi nitapata tiba?

Nimefikisha mwaka tangu nipoteze ajira baada ya kuingia COVI-19.

Kwa sasa nipo mtaani kwa muda mrefu sina shughuli yoyote ya kufanya sababu nilikuwa ni mtu naeishi maisha ya ku-dedicate muda wangu na nguvu zangu kwenye kazi za ofisi.

Sikuwai kuwaza kama kuna siku naweza kukaa bila kupata ajira kwa muda wote huu. Nimeishi miaka mingi ya kuajiriwa na kuna kazi nilikuwa natafutwa bila kuomba.

Leo hii nafanya application hata interview siitwi na nikiitwa sipati feedback. Imefika wakati nikiingia kwenye interview natetemeka nakuwa muoga nashindwa kujibu.

Kifupi maisha yangu yamebadilika yamekuwa magumu sana. Kula imekuwa ya shida na sasa hata kodi nimeshindwa kulipa naishi maisha ya kumkwepa mwenye nyumba.

Kuna kipindi nilikuwa nimeingia kwenye ulevi wa kupindukia nikijaribu kuitafuta relief ya maisha. Afya ilidhoofu majanga yakawa mengi nashukuru nilipata rafiki yangu mmoja alinitoa huko japo mara moja moja uwa narudi kwenye ulevi na kutoka.

Sasa hivi nahisi nimeanza kupata kitu kama kichaa nna hali sio ya kawaida. Naskia hasira kali sana muda wote, nasahau vitu kwa haraka mpaka watu nawasahu kibaya zaidi napata tatizo la ganzi kwenye mwili nikiwa kwenye mawazo. Siwezi kufikiria vizuri mimi ni mwandishi mzuri ila kwa sasa hata uwezo wangu wa drafting umeshuka sana.

Yani nimekuwa naishi kama kasha flani lisilo na kitu.Natafuta unafuu na amani lakini nimeshindwa kuipata kwenye pombe na strehe, kwenye wanawake hata ibadani siipati amani rohoni kwangu.

Kuna muda nataman kama nisiwepo kabisa duniani nisione mateso zaidi yanayokuja mbele yangu.

I am so scared. I cry almost every night pamoja na uanaume wangu na sijui nafanyeje.

Dah naomba Mungu anisaidie nafsi yangu ipone sipo sawa kabisa.
Wana jf ndio wanapendaga thread kama hizi ole wako useme ww ni tajiri watakufyonza ubongo!
 
I went through the same perod and am still stuggling to get out of it...... usijiinguze kwenye. Ulevi mwanangu komaa tu mi nimejikuta niko kwenye ulevi mzee pombe plus ugoro and i cant find a way out of it najikuta nikiwa na mwwazo nabwia tu mzeee to look and feel okay watu wa nje wqnaona am doing just fine ila ndani yangu niko ovyo kinoma.....

Kila kitu kinapita
 
E8AMr1FWYAEowGg.jpeg
 
Nimefikisha mwaka tangu nipoteze ajira baada ya kuingia COVI-19.

Kwa sasa nipo mtaani kwa muda mrefu sina shughuli yoyote ya kufanya sababu nilikuwa ni mtu naeishi maisha ya ku-dedicate muda wangu na nguvu zangu kwenye kazi za ofisi.

Sikuwai kuwaza kama kuna siku naweza kukaa bila kupata ajira kwa muda wote huu. Nimeishi miaka mingi ya kuajiriwa na kuna kazi nilikuwa natafutwa bila kuomba.

Leo hii nafanya application hata interview siitwi na nikiitwa sipati feedback. Imefika wakati nikiingia kwenye interview natetemeka nakuwa muoga nashindwa kujibu.

Kifupi maisha yangu yamebadilika yamekuwa magumu sana. Kula imekuwa ya shida na sasa hata kodi nimeshindwa kulipa naishi maisha ya kumkwepa mwenye nyumba.

Kuna kipindi nilikuwa nimeingia kwenye ulevi wa kupindukia nikijaribu kuitafuta relief ya maisha. Afya ilidhoofu majanga yakawa mengi nashukuru nilipata rafiki yangu mmoja alinitoa huko japo mara moja moja uwa narudi kwenye ulevi na kutoka.

Sasa hivi nahisi nimeanza kupata kitu kama kichaa nna hali sio ya kawaida. Naskia hasira kali sana muda wote, nasahau vitu kwa haraka mpaka watu nawasahu kibaya zaidi napata tatizo la ganzi kwenye mwili nikiwa kwenye mawazo. Siwezi kufikiria vizuri mimi ni mwandishi mzuri ila kwa sasa hata uwezo wangu wa drafting umeshuka sana.

Yani nimekuwa naishi kama kasha flani lisilo na kitu.Natafuta unafuu na amani lakini nimeshindwa kuipata kwenye pombe na strehe, kwenye wanawake hata ibadani siipati amani rohoni kwangu.

Kuna muda nataman kama nisiwepo kabisa duniani nisione mateso zaidi yanayokuja mbele yangu.

I am so scared. I cry almost every night pamoja na uanaume wangu na sijui nafanyeje.

Dah naomba Mungu anisaidie nafsi yangu ipone sipo sawa kabisa.

Pôle sana mkuu. Usikae mwenyewe ndani, tembea tafuta kijiwe ukapige story unaweza pata mchongo huko kijiweni
 
Nimefikisha mwaka tangu nipoteze ajira baada ya kuingia COVID-19.

Kwa sasa nipo mtaani kwa muda mrefu sina shughuli yoyote ya kufanya sababu nilikuwa ni mtu naeishi maisha ya ku-dedicate muda wangu na nguvu zangu kwenye kazi za ofisi.

Sikuwai kuwaza kama kuna siku naweza kukaa bila kupata ajira kwa muda wote huu. Nimeishi miaka mingi ya kuajiriwa na kuna kazi nilikuwa natafutwa bila kuomba.

Leo hii nafanya application hata interview siitwi na nikiitwa sipati feedback. Imefika wakati nikiingia kwenye interview natetemeka nakuwa muoga nashindwa kujibu.

Kifupi maisha yangu yamebadilika yamekuwa magumu sana. Kula imekuwa ya shida na sasa hata kodi nimeshindwa kulipa naishi maisha ya kumkwepa mwenye nyumba.

Kuna kipindi nilikuwa nimeingia kwenye ulevi wa kupindukia nikijaribu kuitafuta relief ya maisha. Afya ilidhoofu majanga yakawa mengi nashukuru nilipata rafiki yangu mmoja alinitoa huko japo mara moja moja uwa narudi kwenye ulevi na kutoka.

Sasa hivi nahisi nimeanza kupata kitu kama kichaa nna hali sio ya kawaida. Naskia hasira kali sana muda wote, nasahau vitu kwa haraka mpaka watu nawasahu kibaya zaidi napata tatizo la ganzi kwenye mwili nikiwa kwenye mawazo. Siwezi kufikiria vizuri mimi ni mwandishi mzuri ila kwa sasa hata uwezo wangu wa drafting umeshuka sana.

Yani nimekuwa naishi kama kasha flani lisilo na kitu.Natafuta unafuu na amani lakini nimeshindwa kuipata kwenye pombe na strehe, kwenye wanawake hata ibadani siipati amani rohoni kwangu.

Kuna muda nataman kama nisiwepo kabisa duniani nisione mateso zaidi yanayokuja mbele yangu.

I am so scared. I cry almost every night pamoja na uanaume wangu na sijui nafanyeje.

Dah naomba Mungu anisaidie nafsi yangu ipone sipo sawa kabisa.
Pole sana ndugu! Kifupi umeshikwa na depression ya hatari! Na njia bora ya kutoka hapo ni kupata ushauri nasihi...kama waweza watafute. Ila kama huwezi naomba anza kwanza kukubali kuwa maisha yamebadilika. Kumbuka nyakati maisha yalikua mazuri na uone ulivyojithamini ...huyu ni wewe yuleyule ambae sasa hujithamini..why? Jitahiri urudishe dhamani ya utu wako..kwa kujali afya..na uzima wako. Usijitoe udhamani kwa kukosa vitu...wewe ni binadamu yuleyule..vilivyobadilika ni vitu...ukijipenda hutawaza kujidhuru..au kujiacha hovyo..maana jinsi unavyojiacha hovyo..ndio unapoteza sifa zaidi za kuajirika!
Pili angalia upande wako chanya..je utaalamu uluonao unaweza tumia kujiajiri? Au je unaujuzi mwingine waweza kutumia ili kujiajiri?

Haya ni yangu machache..anza nayo uone utasaidikaje....jipe moyo..maisha ni mitihani..but ndani yetu tumepewa nguvu ya kushinda..uamuzi ni wako..kupambana au kulala!
 
Nimefikisha mwaka tangu nipoteze ajira baada ya kuingia COVID-19.

Kwa sasa nipo mtaani kwa muda mrefu sina shughuli yoyote ya kufanya sababu nilikuwa ni mtu naeishi maisha ya ku-dedicate muda wangu na nguvu zangu kwenye kazi za ofisi.

Sikuwai kuwaza kama kuna siku naweza kukaa bila kupata ajira kwa muda wote huu. Nimeishi miaka mingi ya kuajiriwa na kuna kazi nilikuwa natafutwa bila kuomba.

Leo hii nafanya application hata interview siitwi na nikiitwa sipati feedback. Imefika wakati nikiingia kwenye interview natetemeka nakuwa muoga nashindwa kujibu.

Kifupi maisha yangu yamebadilika yamekuwa magumu sana. Kula imekuwa ya shida na sasa hata kodi nimeshindwa kulipa naishi maisha ya kumkwepa mwenye nyumba.

Kuna kipindi nilikuwa nimeingia kwenye ulevi wa kupindukia nikijaribu kuitafuta relief ya maisha. Afya ilidhoofu majanga yakawa mengi nashukuru nilipata rafiki yangu mmoja alinitoa huko japo mara moja moja uwa narudi kwenye ulevi na kutoka.

Sasa hivi nahisi nimeanza kupata kitu kama kichaa nna hali sio ya kawaida. Naskia hasira kali sana muda wote, nasahau vitu kwa haraka mpaka watu nawasahu kibaya zaidi napata tatizo la ganzi kwenye mwili nikiwa kwenye mawazo. Siwezi kufikiria vizuri mimi ni mwandishi mzuri ila kwa sasa hata uwezo wangu wa drafting umeshuka sana.

Yani nimekuwa naishi kama kasha flani lisilo na kitu.Natafuta unafuu na amani lakini nimeshindwa kuipata kwenye pombe na strehe, kwenye wanawake hata ibadani siipati amani rohoni kwangu.

Kuna muda nataman kama nisiwepo kabisa duniani nisione mateso zaidi yanayokuja mbele yangu.

I am so scared. I cry almost every night pamoja na uanaume wangu na sijui nafanyeje.

Dah naomba Mungu anisaidie nafsi yangu ipone sipo sawa kabisa.
Usikubali kamwe maisha yakushinde!! Pambana mpaka mwisho ili uyashinde. Hakuna namna. Usikubali kirahisi kushindwa.

Tafuta fursa yoyote ile ili ikupatie riziki! Usisahau kumtanguliza Mwenyezi Mungu katika kila jambo.
 
I went through the same perod and am still stuggling to get out of it...... usijiinguze kwenye. Ulevi mwanangu komaa tu mi nimejikuta niko kwenye ulevi mzee pombe plus ugoro and i cant find a way out of it najikuta nikiwa na mwwazo nabwia tu mzeee to look and feel okay watu wa nje wqnaona am doing just fine ila ndani yangu niko ovyo kinoma.....

Kila kitu kinapita
Duh pole sana...I can feel what you are going through
 
Back
Top Bottom