Mracho Ngongoti
Senior Member
- Apr 11, 2012
- 133
- 84
Kuna dem ulikua umemwahidi kumuoa kabla ya huyo uliyemuoa Sasa.? Manake ahadi nyingine mdai anachafukwa kama landlord mazima...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaah nashukuru Sana nitafanya hivyoNenda kwenye pharmacy kubwa kubwa.
Yaani tena anavyodhani kuwa ndoa itavunjika ndio kabisa anazidisha kumbe hana udhaifu wowote. Huyu jamaa anahitaji msaada tu wa kisaikolojia basi, anaponakinachokutesa ni saikolojia ya tendo lenyewe, unapanik sana kuhusu madhaifu yako so unazidi kuharibika kiutendaji siku hadi siku. tafuta mtaalamu wa saikolojia akurekebishe, ongea na mkeo vizuri kuhusu hilo tatizo ili awe anaenda na ww ado ado. Hii inaweza kuwa ni njia moja ya kutatua hilo jambo. kama unahitaji maelezo zaidi uliza tu.
Chief Mwenyezi Mungu akubariki Sana yaani! Nimekupata vyema kabisa,kuna jamaa yangu ktk kutafuta ushauri aliniambia mke wake alikuwa bega Kwa bega na yeye ktk kutatua hili tatizo,bahati mbaya mimi mke wangu kuna muda tunakuwa pamoja kuna muda ana panick Sana full misengenyo Ila all in all ni muelewa acha nikae nae chini nilifanye hili zoezi pia.Shukran Sana mkuu
Inawezekana pengine nimekosea katika matumizi ya lugha, nisamehe kwa hilopresha huwa inashuka?
Nimepata kitu hapa,nashukuru Sana acha nifanyie kazi hili piayan tena anavyodhani kuwa ndoa itavunjika ndio kabisa anazidisha kumbe hana udhaifu wowote. huyu jamaa anahitaji msaada tu wa kisaikolojia basi, anapona
Sawa mkuu acha niyazingatie haya hakika naamini yatanisaidiakaribu sana cheza fresh na mkeo atakutibu kwa asilimia mia. huyo ndo uwanja wako wa kujaribia na kuvuka hilo tatizo. usifanye chochote kama hayuko fresh siku hiyo ili asikuvunje moyo. siku akiwa fresh na mnaelewana fanya nilivyokwambia utaona hatua kubwa siku hadi siku mpaka kupona kabisa.
Mpe dose yake boss. Kwa muda gani anameza? Life long?Tafuta dawa inaitwa Citalopram 10mg. Kunywa kidonge kimoja kila baada ya siku mbili.
Ukichomeka, kutoka ni baada ya nusu saa.
Shukran Sana Kwa ushauri,nitazingatia hili.be blessedMkuu tendo la ndoa huongozwa na hisia. Naamini tatizo halitokuisha kama utaendelea kujiona dhaifu mbele ya mkeo.
Mosi jipe muda wa kutosha wa kumuandaa mkeo, Usiwe na mawazo hasi kuhusu hali yako.
Fanya mazoezi kweli maana isije kuwa unachezacheza ukasema unafanya mazoezi.
Ni vyema wa wakati wa tendo lenyewe ukawa unafikiria vitu vingine kabisa hii itasaidis kukufanya uchelewe kukojoa.
Muone Psychologist Akusaidie.
Sasa hiko kidonge ndio tiba ya tatizo au booster kama viagra tuTafuta dawa inaitwa Citalopram 10mg... Kunywa kidonge kimoja kila baada ya cku mbili...
Ukichomeka, kutoka ni baada ya nusu saa...
Mkuu umewaza nilichokua nakifikiria akilini mwangu,,tatizo limeanza baada ya kuoa,,ina maana kabla ya kuoa hajawah ku experience hiyo shida...kuna bint wengine wakiingia kwenye mahusiano (hasahasa wale waliopewa ahadi ya kuolewa) then kwa sabab yoyote ile mkaachana hua wanawafanyia vitu vya kukukomesha ili ndoa yako iyumbe hata kupelekea kuvunjika...jpo sio wote ila wapo wanaofanya haya mambo..wakati upo sawa ulikua na mahusiano na mke wako huyo au ulikua na mwanamke mwingine?
Na kweli huwa najiuliza Sana Hilo suala kama nitaweza au la,Acha nijitahidi kutoa hayo mawazo hasiDaah kuna mdau huku nilimpa supplement (korean red ginseng) kaniambia inamsaidia sana fanya kuingia mtandaoni ebay/alibaba uagize mkuu, kwanza wewe kuhisi tuu unatatizo tayari ni tatizo maana unaingia kitandani ukiwaza leo nitaweza kweli, matokeo yake ndio kama ivyo unafeli tena
Hakika kwa ushauri wenu naamini mambo yatakuwa mazuriJichanganye na wanaume, kunywa pombe kidogo na urelax...mambo yatakuwa mazuri mkuu
Yawezekana walikuchukia kwa sababu matarajio yao ilikuwa waolewe na wewe,japo hukuwahi kuwatamkia kama ulivyokwisha sema.Hiki kitu nimeulizwa na wengi,sijawahi ahidi kumuoa mtu yoyote zaidi ya mke wangu,Ila cha kushangaza kuna baadhi ya marafiki wa kike baada ya kuoa tu wao wakaanza kunichukia.
Wewe shida ni saikolojia. Yaani kuna siku ya kwanza ulikosea, bila shaka ukapata uoga kwamba mke atakuonaje. Labda mke alionyesha dalili ya kutokuelewa, labda aliguna au kusonya na kila ukianza mechi anakutisha na maneno kama usiniangushe kama jana. Wewe tulia pia mwambie mkeo asikubeze akupe moyo mambo yatakaa vizuriHapana before nilikuwa sawa, enzi za boys nyeto zilihusika sana lakin niliacha na nikahisi kuna tatizo but baadae nikawa sawa bao tatu zikawa kawaida Ila baada ya kufunga ndoa ndio mambo yakuwa lukumba lukumba