Nahisi niliuziwa machungwa yaliyoivishwa kwa kekimikali zilizoanza kutumika Mbeya kuivisha matunda, Mungu atusaidie lakini Idara zetu zimelala mno

Nahisi niliuziwa machungwa yaliyoivishwa kwa kekimikali zilizoanza kutumika Mbeya kuivisha matunda, Mungu atusaidie lakini Idara zetu zimelala mno

Mimi nashindwa kuelewa , kwani Tunda kama parachichi , likikaa lenyewe si Lina iva TU

Sasa kuna haja gani ya kuingia gharana kununua kemikali Kwa ajili ya kuivisha.

Naomba muongozo, sijaelewa kabisa
Kuna uzushi mwingi kwenye mitandao, parachichi la kienyeji likikaa lenyewe Siku tatu linaiva, Siku tano linaanza kuharibika, dawa za nini, hata ndizi Siku chache zinaiva zenyewe, na ukienda masokoni nyingi zimeharibika na kutupwa kwa kuiva mapema na kukosa soko, kwanini mtu awahishe kuiva ili zioze?

Kuna ka uzushi kanasambazwa makusudi kwa malengo maalumu
 
Mimi nashindwa kuelewa , kwani Tunda kama parachichi , likikaa lenyewe si Lina iva TU

Sasa kuna haja gani ya kuingia gharana kununua kemikali Kwa ajili ya kuivisha.

Naomba muongozo, sijaelewa kabisa
Yaani mtu akae tuuu anasubiri hadi litakavyotaka lenyewe kuiva amesubiri tu?

Kwanza sio tu kuiva, kemikali ni kuanzia mbegu hadi viuwatilifu.
 
Watu wanataka yaive haraka, wapige pesa haraka.
Sasa kama ili yaive kwa haraka si yataharibika kwa haraka pia, maana inabidi uwe na wateja wa kuyanunua matunda yalioiva yote,

Au yaki ivishwa na kemikali Yana kaa week 2 bila kuharibika, ?
 
Walitoa ripoti kuwa kemikali hizo, hazina madhara kea watumiaji,.., nadhani kwenye moja ya uzi hapa jamii forum walipost barua official kutoka kwenye mamlaka,....😞😞
Hata kama hazina madhara that is not our standard.

Kama utanisaidia link ya huo uzi nitashukuru
 
Kuna uzushi mwingi kwenye mitandao, parachichi la kienyeji likikaa lenyewe Siku tatu linaiva, Siku tano linaanza kuharibika, dawa za nini, hata ndizi Siku chache zinaiva zenyewe, na ukienda masokoni nyingi zimeharibika na kutupwa kwa kuiva mapema na kukosa soko, kwanini mtu awahishe kuiva ili zioze?

Kuna ka uzushi kanasambazwa makusudi kwa malengo maalumu
Itakuwa Wana nia mbaya ya kuharibu reputation ya wauza matunda,

Biashara ya kuuza matunda inaitwa ni mali kuoza,
Sasa ndio watumie kemikali ili matunda yawai kuiva ili iweje.

Yan haingii akilini kabisa
 
Kula kemikali hakukwepeki labda uwe na shamba lako binafsi Kwa ajili Yako na familia Yako.Mfano nyama ya ngombe hapa dar zinazotokea Kanda ya ziwa nyingi zinalishwa ARV Kwa kuamini kuwa zitanenepa,kwenye kuku hapa Dar wanapewa madawa na siku hiyo hiyo anauziwa mteja na kwenye mboga kama mchicha Kwa hapa dar baadhi wanatumia maji ambayo yaliyochanganyika na maji ya kiwandani na watu Wanakula Kwa kuamini ni chakula safi.
 
Sasa mbona matunda sokoni yanatupwa kwa sababu yameoza,

Na mengine yakishushwa kwenye fuso palepale TU, baadhi yanakuwa tayari yameoza.

Sasa ndio watumie kemikali kuivisha matunda, haingii akilini kabisa 😂
 
Watu wanataka yaive haraka, wapige pesa haraka.
Sasa mbona wauza matunda wengi TU mitaji Yao imekata kwa matunda kuoza,
Kwa hiyo kilicho waponza ni kutumia kemikali.

Labda ungeniambia hiyo kemikali ni kwa ajili ya matunda ya sioze hapo ningewaelewa kidogo
 
Hapo tatizo ni kwamba matunda yanavunwa yakiwa bado hayajakomaa.
Tunda lolote likivunwa kabla ya muda wake,uchelewa kuiva au kuoza kabisa.
Kwahiyo wanaona ni bora kutumia madawa ili yaive haraka.
Sasa mbona matunda sokoni yanatupwa kwa sababu yameoza,

Na mengine yakishushwa kwenye fuso palepale TU, baadhi yanakuwa tayari yameoza.

Sasa ndio watumie kemikali kuivisha matunda, haingii akilini kabisa 😂
 
N:B: Sina uhakika wa asilimia 100 kama niliuziwa chungwa lililoivishwa kikemikali ila kwa dokezo >> hili << nimepata wasiwasi

Nipo Mbeya kwa wiki kadhaa, Nilikuja na mashine yangu ya kusagia juisi ya machungwa, Napenda sana kunywa juisi hii.

Wiki iliyopita nilizinguka soko la soweto nilikuta machungwa mengi yameharibika nikaambiwa msimu ndio unaisha, Ilikuwa ni mida ya saa moja jioni nikaenda soko pale kabwe, machungwa yalikuwa bei sana shilingi 500, nikawa natafuta nafuu nikaona kuna binti anauza machungwa kwa bei rahisi shilingi 300.

Nikafurahi sana nikachukua matano, Nikafika kwenye makazi yangu nikasaga kuandaa juisi bila kutia maji yoyote yani iwe juisi asilimia 100.

Vile nimeshaandaa naanza kuinywa, juisi ilikuwa inanichoma kwenye lips lakini ikifika kwenye ulimi haina shida.

Ilibidi niongeze maji ikawa hainichomi lips.

Leo hii nimeona dokezo kuna mchunguzi huru kaweka ushahidi wa kutosha kwamba kuna kemikali za Calcium Carbide na Etefon 480 zinanunuliwa kwa njia zisizo halali kutoka Zambia zinaletwa Mbeya zinatumika na wafanyabiashara wasio waaminifu kuivisha ndizi na maparachichi, kwa kilichonikuta nimeona itakuwa inatumika mpaka kwenye machungwa.


View attachment 3135889

Hatari sana serikali ichukue hatua mapema
 
Mimi nashindwa kuelewa , kwani Tunda kama parachichi , likikaa lenyewe si Lina iva TU

Sasa kuna haja gani ya kuingia gharana kununua kemikali Kwa ajili ya kuivisha.

Naomba muongozo, sijaelewa kabisa
Inashangaza sana hata embe siku hizi kulipata lililokomalia mtini ni bahati,afya lazima zitetereke.
 
Back
Top Bottom