nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,937
- 2,678
Kuna uzushi mwingi kwenye mitandao, parachichi la kienyeji likikaa lenyewe Siku tatu linaiva, Siku tano linaanza kuharibika, dawa za nini, hata ndizi Siku chache zinaiva zenyewe, na ukienda masokoni nyingi zimeharibika na kutupwa kwa kuiva mapema na kukosa soko, kwanini mtu awahishe kuiva ili zioze?Mimi nashindwa kuelewa , kwani Tunda kama parachichi , likikaa lenyewe si Lina iva TU
Sasa kuna haja gani ya kuingia gharana kununua kemikali Kwa ajili ya kuivisha.
Naomba muongozo, sijaelewa kabisa
Yaani mtu akae tuuu anasubiri hadi litakavyotaka lenyewe kuiva amesubiri tu?Mimi nashindwa kuelewa , kwani Tunda kama parachichi , likikaa lenyewe si Lina iva TU
Sasa kuna haja gani ya kuingia gharana kununua kemikali Kwa ajili ya kuivisha.
Naomba muongozo, sijaelewa kabisa
Sasa kama ili yaive kwa haraka si yataharibika kwa haraka pia, maana inabidi uwe na wateja wa kuyanunua matunda yalioiva yote,Watu wanataka yaive haraka, wapige pesa haraka.
Hata kama hazina madhara that is not our standard.Walitoa ripoti kuwa kemikali hizo, hazina madhara kea watumiaji,.., nadhani kwenye moja ya uzi hapa jamii forum walipost barua official kutoka kwenye mamlaka,....ππ
DOKEZO Wafanyabiashara wa ndizi mbivu Dar huchovya kwenye kemikali ili kuziivisha ndani ya muda mfupi. Afya za watu hatarini nadhani iko kwenye komenti mojawapo humo ndaniHata kama hazina madhara that is not our standard.
Kama utanisaidia link ya huo uzi nitashukuru
Itakuwa Wana nia mbaya ya kuharibu reputation ya wauza matunda,Kuna uzushi mwingi kwenye mitandao, parachichi la kienyeji likikaa lenyewe Siku tatu linaiva, Siku tano linaanza kuharibika, dawa za nini, hata ndizi Siku chache zinaiva zenyewe, na ukienda masokoni nyingi zimeharibika na kutupwa kwa kuiva mapema na kukosa soko, kwanini mtu awahishe kuiva ili zioze?
Kuna ka uzushi kanasambazwa makusudi kwa malengo maalumu
Sasa mbona wauza matunda wengi TU mitaji Yao imekata kwa matunda kuoza,Watu wanataka yaive haraka, wapige pesa haraka.
Sasa mbona matunda sokoni yanatupwa kwa sababu yameoza,
Na mengine yakishushwa kwenye fuso palepale TU, baadhi yanakuwa tayari yameoza.
Sasa ndio watumie kemikali kuivisha matunda, haingii akilini kabisa π
Hatari sana serikali ichukue hatua mapemaN:B: Sina uhakika wa asilimia 100 kama niliuziwa chungwa lililoivishwa kikemikali ila kwa dokezo >> hili << nimepata wasiwasi
Nipo Mbeya kwa wiki kadhaa, Nilikuja na mashine yangu ya kusagia juisi ya machungwa, Napenda sana kunywa juisi hii.
Wiki iliyopita nilizinguka soko la soweto nilikuta machungwa mengi yameharibika nikaambiwa msimu ndio unaisha, Ilikuwa ni mida ya saa moja jioni nikaenda soko pale kabwe, machungwa yalikuwa bei sana shilingi 500, nikawa natafuta nafuu nikaona kuna binti anauza machungwa kwa bei rahisi shilingi 300.
Nikafurahi sana nikachukua matano, Nikafika kwenye makazi yangu nikasaga kuandaa juisi bila kutia maji yoyote yani iwe juisi asilimia 100.
Vile nimeshaandaa naanza kuinywa, juisi ilikuwa inanichoma kwenye lips lakini ikifika kwenye ulimi haina shida.
Ilibidi niongeze maji ikawa hainichomi lips.
Leo hii nimeona dokezo kuna mchunguzi huru kaweka ushahidi wa kutosha kwamba kuna kemikali za Calcium Carbide na Etefon 480 zinanunuliwa kwa njia zisizo halali kutoka Zambia zinaletwa Mbeya zinatumika na wafanyabiashara wasio waaminifu kuivisha ndizi na maparachichi, kwa kilichonikuta nimeona itakuwa inatumika mpaka kwenye machungwa.
View attachment 3135889
DOKEZO - Mbeya: Kemikali za kuivisha Ndizi zimehamia katika matunda mengine, Wataalam wa Afya watueleze kama ni salama
Habari Wana Jamiiforums wenzangu, ndugu yenu Mwanongwa katika pilika zangu nikakutana na Stori za kwamba kuna Wafanyabiashara wa Ndizi pamoja na Maparachichi ndani ya Mkoa wa Mbeya wamekuwa siyo waaminifu katika biashara hiyo. Kawaida ndizi zinapokomaa huwa zinavunwa na kuvundikwa kwenye sehemu...www.jamiiforums.com
Inashangaza sana hata embe siku hizi kulipata lililokomalia mtini ni bahati,afya lazima zitetereke.Mimi nashindwa kuelewa , kwani Tunda kama parachichi , likikaa lenyewe si Lina iva TU
Sasa kuna haja gani ya kuingia gharana kununua kemikali Kwa ajili ya kuivisha.
Naomba muongozo, sijaelewa kabisa