Nahisi nimeathirika na VVU

Nahisi nimeathirika na VVU

Wakuu msaada wenu wa kimawazo tafadhari


Juzi nilikuwa ambiance sasa bhana kwenye kucheza cheza mziki akaja msichana flan hivi akaniminya mkono halafu akatangulia mbele na kunipa ishara ya kumfata

Mm nilimpotezea lakini yule msichana akarudi tena na kunishika mkono na kunipeleka chobingo kidogo ambapo kuna kigiza giza kidogo(mule mule ndani lakini)


Sasa bhana yule msichana ndani hakuvaa cha chupi wala nini alikuwa yupo mtupu kabisa akawa ananisugulia makalio yake kwenye mbooo yangu kisha anachukua mkono wangu na kunishikisha K yake


Ila yote hayo sio kama alikuwa anafanya bure bure ,la hasha nilikuwa namnunulia bia ili azidi kunipa utamu


Sasa bhana wakuuu ,utamu uliponinogea nikaamua nimchukue yule binti ili tukamalizane nae kitandani

Bei yake alinichaji elfu 15

elfu 5 gesti ,10 ya kwake


Lakini baada ya kumaliza kufanya naye nilijuta saana yani kwa nini nilifanya vile

Roho inaaniuma yani nimenunua ukimwi kwa elfu 15 na starehe ya dakika 10 inanitesa maisha yangu yote


Msaada wa kimawazo tafadhari, nimekuwa mtu mwenye mfadhaiko mkubwa mpaka classmates wangu wanashangaa nilivyopoa kwa kuwa sio kawaida yangu na kuwaambia ukweli siwezi abadani asilani



NB:Ushauri uwe wa kujenga sio dhihaka
Kuna dawa ulitakiwa uitumie kabla ya masaa 72 tangu usex,
 
dogo kwanza kapime!! ukiwa positive usimaind sana still nafasi ya kuishi unayo cha muhimu upate ushauri nasaha!! halafu uwe muwazi ili usiusambaze kwa wengine!! la mwisho rudi kwa mola wako dunia ni mapito kwa sote kila mtu ataondoka kinamna yake! ajali, maradhi, usingizini, nk
 
Lengo lako hasa ni nini???
Tusiende ambiance???
Au mademu wa ambiance ni 10k ndio bei Yao??


kuwa Imara we ukimwi si kawaida tu...
 
Vijana wa Millennial bana, we mtu humujui, ndio mmekutana tu huko club; yaani tayari umeshamuamini mpaka anakuvua pichu? Halafu unapiga kavu, thank GOD; I'm an old school guy!
 
Mkuu hujasema ni bia za bei gani, hebu kafanye vzuri calculations then uje tukushauri. Watu wanatoka dar wanafuata k mwanza.
 
Cku Ukipata ukimwi ndio utamuona domo zege na mpiga nyeto ni bonge la mjanja hapa mjini!....he he hee
Yaani we acha tuu watu hawajui Aise domo zege na nyeto inaepusha meng
 
Mwanangu mpaka umenitamanisha k'nyama ...

Ila kapime kwanza mshikaji wangu usikate tamaa kwa sababu huna hata uhakika ni dhana tu !

Au ukijiiangalia una dalili zote kama Ferooz ?
 
duh pole mwanagu but wazazi home hawali ili ww usome ili uje uwasaidie sasa unafanya huo ujinga looh
kweli tuliosoma shule za kata tukifika mjini huwa hatukamatiki
kumbuka mkuu mchuma janga hula na wakwao
 
Wakuu msaada wenu wa kimawazo tafadhari


Juzi nilikuwa ambiance sasa bhana kwenye kucheza cheza mziki akaja msichana flan hivi akaniminya mkono halafu akatangulia mbele na kunipa ishara ya kumfata

Mm nilimpotezea lakini yule msichana akarudi tena na kunishika mkono na kunipeleka chobingo kidogo ambapo kuna kigiza giza kidogo(mule mule ndani lakini)


Sasa bhana yule msichana ndani hakuvaa cha chupi wala nini alikuwa yupo mtupu kabisa akawa ananisugulia makalio yake kwenye mbooo yangu kisha anachukua mkono wangu na kunishikisha K yake


Ila yote hayo sio kama alikuwa anafanya bure bure ,la hasha nilikuwa namnunulia bia ili azidi kunipa utamu


Sasa bhana wakuuu ,utamu uliponinogea nikaamua nimchukue yule binti ili tukamalizane nae kitandani

Bei yake alinichaji elfu 15

elfu 5 gesti ,10 ya kwake


Lakini baada ya kumaliza kufanya naye nilijuta saana yani kwa nini nilifanya vile

Roho inaaniuma yani nimenunua ukimwi kwa elfu 15 na starehe ya dakika 10 inanitesa maisha yangu yote


Msaada wa kimawazo tafadhari, nimekuwa mtu mwenye mfadhaiko mkubwa mpaka classmates wangu wanashangaa nilivyopoa kwa kuwa sio kawaida yangu na kuwaambia ukweli siwezi abadani asilani



NB:Ushauri uwe wa kujenga sio dhihaka


Kijana una akili kweli wewe, yaani unamlipa mwanamke kwa starehe yenu wote? Sikazi ni wewe peke ndiye uliyetokwa na jasho la mk.unduni huku yeye akihesabu nyota au akihesabu mabati, eti unamlipa, for what? Nyie vijana mtatudhalilisha wenzenu wenye msimamo.
 
Niim ngumu sana kunusurika kwa mazingira kama hayo mkuu, vipi hamkupanda kule juu Annex?
 
Muombe mungu
soma biblia na hata ushinde makanisani ukisali. Maana hakuna namna mkuu.
 
vipi tigo ulikula mkuu!
in mpoki's voice
 
Back
Top Bottom