Nahisi nimefika hatua mbaya kabisa sasa. Naombeni msaada

Daah!hatar aysee...juzi kati kuna jamaa anatengeneza sendalz za kimasai..kang'ata shuka kimasiara...kisa inasemekana alifanyiea oparetion ya tonses...ni teen tu wa miaka 23 iv..nmeanza kupata picha hapa..
23 sio teenager
 
Kwa mwanaume hakuna raha yoyote anayoipata mwongo wewe kwa mwanamke sawa, sema unapenda kuwafanyia hivyo ili usifiwe ujinga na wanawake lakini tambua si kila mwanamke anapenda hayo mambo halafu nyie watu wa Arusha bado ni washamba sana.
 
Hio avatar yako noma kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…