Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Kwani uongoooNyooooko.....we jishsue
Kweliiiii.........nimekushusha thamani aiseeee,nilijuaga unakuwa unaacha kumbe ndio unaongeza,we ni wa hovyooo sana,basilica kaka Duncan tambala bovu,walikuwepo malaya kuliko weweKwani uongooo
Mshenzi Sana huyo ,kama Hana hela piga chini hakufai!!!Shangaaa na wewe shoooga........halafu yeye anazaa nje,
Ana hela za mbogamboga ila ulimbukeni mwiiiiiiiingi......Mshenzi Sana huyo ,kama Hana hela piga chini hakufai!!!
Pole Sana kipenzi punguza hasira dunia tambala bovu!!!Ana hela za mbogamboga ila ulimbukeni mwiiiiiiiingi......
Safi sana mkuu!Kaka,
Amani imerudi kwa kasi ya 4G kwanza sasa hvi nampenda sana mke wangu, Nawahi sana kufika home, kila siku asubuhi lazima nimsindikize kwenda kazini. Kitandani huko ndo usiseme huyu dada kaimprove sana ananipa miaka ananipa yaani, hana tena visingizio sijui nimechoka ooh tutafanya kesho yaani kifupi ni raha burdanii
Eeeh mumeo kweli huyu dear?Ndio maana nimekuambia umerithi vote kwa baba yako,baba ako kama wewe alikuwa na kila kitu ila alikuwa malaya kama wewe
Natuliaje wakati nna nyege mme uko bize kuchepuka?? Usivyo na haya unanikandia kwa michepuko yako hujui wanafata hela zako tu has.....forgive but must revenge,umenizoea wewe safari hii nakulipiza
Hahahahaha duh, tabia gani hio hadi uamue kufanya hivyoN
Nimemchoka tabia yake........ntatomvesha kistaarabu kupunguza nyege
Mwanamke wa kufanya hivyo labda awe hajakuchoka tu😄 ila akikuchoka bro lazma utapikwe mazimaILIKUA MAY 12, LEO NI JULY 4, VIPI AMANI ILIRUDI AU BADO NYUMBA CHUNGU. NAOMBA KUJUA HILO.
NNACHOAMINI KULINGANA NA YALIYONIKUTA MIMI MWANAMKE HATA AKIKUKAMATA LIVE, KAMA UTAONESHA KUJUTIA KOSA LAKO NA KUMWONESHA UNAMPENDA NA KUMTHAMINI YEYE, BASI HUO UGOMVI HAUWEZI KUCHUKUA HATA SIKU TANO, LAZMA AKUSAMEHE.
MIMI ALINIKUTA LIVE... 😂😂😂
Tunapeana moyo tu kaka, ila huko behind the curtains moto unawaka 😂Mwanamke wa kufanya hivyo labda awe hajakuchoka tu😄 ila akikuchoka bro lazma utapikwe mazima
Hii yako chamtoto. Yupo jamaa mke wake hivyo hivyo aligundua pw ya simu yake.Wakuu salama?
Aisee aiseee kimenuka tiyari hapa nyumbani kwangu kati yangu mimi na mama solomonii. Mimi ni mwanaume wa early 30's niko na mke na familia ya watoto kadhaa. Mimi siku zote huwa ni muumini wa faragha na uhuru binafsi hivyo huwa sitaki wife aguse simu yangu na wala mimi kuchokonoa simu yake, japokuwa yeye huwa ana mahaba sana na simu yangu kiasi pengine ndoto yake ni kuimiliki simu yangu na kuwa na access ya kila pahala yaani.
Sasa mimi kama ilivyo baadhi ya wanaume sijapoa sana niko na mamaz za hapa na pale mixer wa zamani wapya, wakupoozea, mwingine nimezaa Naye chobingo.
Kwa mantiki kwamba wife hana access na simu yangu hivyo huwa sifuti sms wala picha ama calls...za hizo mamaz ninazo mingle nazo siku moja moja kwamba kwa hofu ya kuja kukamatika. Sasa huyu mama kwa namna alivyo na mahaba ya dhati na hii simu sijui kafanyajefanyaje kaijua password ya simu.
Nikawa jana nimerudi zangu home saa 6 usiku nikaacha simu sebuleni nikaenda kulala. Bwana bwana kafukunyua kila kona kuanzia sms, WhatsApp, gallery mpaka koote yaani, naimiliki hii simu toka 2020 na huwa sifuti kitu chochote, kakukutana na balaa zitoo yaani Zito mno.
Ghafla naamshwa nasomewa risala juu ya tabia yangu ya umalaya kupitia ushahidi mujarabu alokutana nao kwa simu yangu, sikutaka kumsikiliza zaidi, kujibizana naye wala kujitetea maana kila kitu kiko wazi kabisa, kitu nimefanya ni kushuka kitandani kwa hasira na aibu kuu na kuelekea kulala chumba cha wageni mpaka sasa ndo nilipo najitafakari na usingizi umepaa mazima.
Hofu yangu kuu ni hatima ya hii ndoa na bila shaka imani ya huyu dada kwangu imepotea kabisaa na ni moja ya kovu kubwa sana limedevelope hapa nyumbani. Sijui tutaishije kwa kweli. Na hii pengine itampelekea kwenda kulipa kisasi, ambapo aweza ishia kujiumiza ama kuniumiza na mimi pia. Tulikuwa na amani humu ndani jamani ila ndo hivyo simu ishaniumbua.
Tafadhali wakurungwa mliowahi kulipitia hili hebu nipeni mwelekeo katika hili natokaje hapa.
Ahahahha ila nyie wadudu kwa hela......Pole Sana kipenzi punguza hasira dunia tambala bovu!!!
Aisee kweli yangu cha mtoto , huyu mwamba aliyatimba unakuta lilikuwa linamtukana my waifu wake ili just kujirahisishia mambo kwa hayo mamichepuko si kwamba alikuwa anamaanishaHii yako chamtoto. Yupo jamaa mke wake hivyo hivyo aligundua pw ya simu yake.
Kibaya zaidi Kuna meseji nyingi zinamtukana huyo mkewe kwamba Ni mshamba, hajui kuiosha, hajui kupika, Hana sura etc.
Kumbuka mwanamke mtukane matusi yote atavumilia Ila ukimuita mshamba hajui kuisafisha utakua umevuka mstari.
Sasa Hana hela halafu analeta ujinga unamvumilia ili iweje?Ahahahha ila nyie wadudu kwa hela......
Baada ya mwenzio kukiri Anazo ila za mboga mkuu ukaona si vibaya avumilievumilie tu.....by the way hvi mwanaume akiwa na hela zinakuwa na impact gani kwa mwanamke....Sasa Hana hela halafu analeta ujinga unamvumilia ili iweje?
Kwa mwanaume zinamrahisishia uzinziBaada ya mwenzio kukiri Anazo ila za mboga mkuu ukaona si vibaya avumilievumilie tu.....by the way hvi mwanaume akiwa na hela zinakuwa na impact gani kwa mwanamke....
Ulivyomnafki umanikandia kwa michepuko yako ili uonewe huruma usivyo na haya unatft midday mibaya kama minimum ya kwenuAisee kweli yangu cha mtoto , huyu mwamba aliyatimba unakuta lilikuwa linamtukana my waifu wake ili just kujirahisishia mambo kwa hayo mamichepuko si kwamba alikuwa anamaanisha
Yaishe basi my waifuUlivyomnafki umanikandia kwa michepuko yako ili uonewe huruma usivyo na haya unatft midday mibaya kama minimum ya kwenu