Nahisi nimeharibu ndoa yangu na sitarajii kama amani itakuwepo tena nyumbani kwangu. Simu imeniumbua!

Sasa umalaya wako unatuhusu Nini sisi? Umeyatimba mwenyewe pambana nayo, unemfanyia makusudi mwenzako halafu unataka msaada? Nakushauri hivi usitoke hicho chumba Cha wageni kaa huko huko maana huna sifa ya kuwa muaminifu Kwa mwenza wako, pili kama unataka amani usisithubutu kuomba msamaha Kwa mkeo labda kama mademu uliowapiga watakuwa chini ya viwango kuliko mkeo! TATU anzisha balaa Kwa Nini mkeo kakagua simu yako
 
Imefika hatua mwnaume anamugopa mwanamke kiasi hiki!
Aisee mtu tumekutana ukubwani na maisha yangu haya anikoseshe usingizi!
 
Habari yako ndugu katika ufirauni
The same scenario ilimtokea jamaa yangu hapa kazini, yule mke wake akanipigia simu na kuomba nionane nae bila jamaa yake kujua, nilishtuka kidogo, nikakutana nae Sakina kuna sehemu inaitwa Leons ina garden na rooms ndani, akanieleza mkasa mzima na akasema kaondoka kwa mume wake kachukua room hapo na atakaa for a week, basi tukapata wine huku analalamika na baada ya hapo nilimlomba usiku kucha, kesho yake na siku zinazoendelea bado namlomba, ni mtamu, wamoto pia, nadhani na wewe utalombewa very soon, niamini
 
Face your problems kitendo cha wife alivyo Ku confront ukaamua kukaa kimya Na kumkwepa it shows u are a coward matatizo hayakimbiwi Na huwezi kusolve tatzo Kwa kulikimbia unatakiwa uliface
 
Mwambie akuombe msamaha kwa kosa la kushika simu yako bila ridhaa yako, na huo msamaha akuombe akiwa mbele ya wazazi wake au walezi laa sivyo usimsamehe.
 
Namshauri mkeo aanze mchakato wa kudai talaka.

Tunahitaji singo mamaz wa kutosha.

Hii ni generation ya singo mamaz na singo babaz.

Kwasababu ndo zimewashinda.
 
Ul.
Ulambila wako
 
Sasa mkuu kama ndani kwako mlikuwa na amani huko nje ulifuata nini tena? Haya ndiyo makosa wanaume tunafanya, nyama ni ile ile utamaliza Bucha tu! Halafu ukute na hayo ma michepuko siyo pisi kali kuzidi mkeo!
Mkuu! Hivi kweli unaamini nyama ni ileile? Hawa ni wanawake, hivyo wako tofauti sana. I stand to be corrected.
 
Usimtishe bana, if life is too short, let him live.
 
Ishu humu mkuu...Hizo ni hekaheka za kawaida sana kwenye ndoa,chamsingi usitie sana huruma na usichanganyikiwe sana utaharibu zaidi,she'll come around kama anakupenda na ana focus ya maisha zaidi.
 
Mkuu hii ilinikuta, kilichofata kidogo wife afe na presha aisee. Imagine kakuta picha ya mdada yuko uchi na Hadi video tumeji record tuko kitandani😂.

Alipouliza nikakwambia huyo sio mimi, Wanaume adhabu yetu huko peponi sijui itakuwa ya namna gani,😂naona moto haitoshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…