Nahisi nimeharibu ndoa yangu na sitarajii kama amani itakuwepo tena nyumbani kwangu. Simu imeniumbua!

Nahisi nimeharibu ndoa yangu na sitarajii kama amani itakuwepo tena nyumbani kwangu. Simu imeniumbua!

Ninyi wenzetu huwa hamko busy? Unawezaje kudeal na mke, mchepuko wa kwanza, wa pili, wa tatu, wa nne hadi watano? Wote hawa mnachat, mnapigiana simu, mnatumiana picha???

Ama kweli upumbavu ni kipaji, ambacho hakiwezi kuisha hadi uzeeni.
Tungekuambia, lakini utayazagaza.
 
Ninyi wenzetu huwa hamko busy? Unawezaje kudeal na mke, mchepuko wa kwanza, wa pili, wa tatu, wa nne hadi watano? Wote hawa mnachat, mnapigiana simu, mnatumiana picha???

Ama kweli upumbavu ni kipaji, ambacho hakiwezi kuisha hadi uzeeni.
Tungekuambia, lakini utayazagaza.
 
Ninyi wenzetu huwa hamko busy? Unawezaje kudeal na mke, mchepuko wa kwanza, wa pili, wa tatu, wa nne hadi watano? Wote hawa mnachat, mnapigiana simu, mnatumiana picha???

Ama kweli upumbavu ni kipaji, ambacho hakiwezi kuisha hadi uzeeni.
Tungekuambia, lakini utayazagaza.
 
Ni bora akagongwe kwa kulipiza kisasi kwa sababu anajua kabisa na mm nimemcheat ila siyo ile mwanaume umenyooka huna makandokando yoyote ila wana wanajichapia tu, by the way hata kama wakichapa sawa tu as long as nitakuwa sijui.
Unajicomfort....jifunze kuwa repetant, watoto wako watakua stable sana. Umepanga kuachana na mishangaz ama bado bado wala ujana...???

Yote kwa yote ukishajaa majukumu utaacha hekaheka mwenyewe. I hope hautakuwa late maana ule upendo wa mwanamke utakuwa umepoa au umeisha kabisa. Kinachobak ni tittle baba flan chakula tayari..anakuheshimu lakin hakupi moyo wake tena.....treasure her, life is too short.

Babamkubwa alivyofiwaga na mke wake alisemaga if I could only push back days and treat my wife better..maybe, mambo yangekua tofauti. Mama alidhoofika kwa ugonjwa wa moyo kutokana na madhila ya baba yetu. Life is too short, hold dear to the one unamuona leo...utakumbuka hii sentensi one day...TRUST ME
 
Unajicomfort....jifunze kuwa repetant, watoto wako watakua stable sana. Umepanga kuachana na mishangaz ama bado bado wala ujana...???

Yote kwa yote ukishajaa majukumu utaacha hekaheka mwenyewe. I hope hautakuwa late maana ule upendo wa mwanamke utakuwa umepoa au umeisha kabisa. Kinachobak ni tittle baba flan chakula tayari..anakuheshimu lakin hakupi moyo wake tena.....treasure her, life is too short.

Babamkubwa alivyofiwaga na mke wake alisemaga if I could only push back days and treat my wife better..maybe, mambo yangekua tofauti. Mama alidhoofika kwa ugonjwa wa moyo kutokana na madhila ya baba yetu. Life is too short, hold dear to the one unamuona leo...utakumbuka hii sentensi one day...TRUST ME
Hayo yote ni yeye kutaka kujua ya moyoni mwangu......ni sawa na wewe hapo wakakuscan akili yako na kila kitu waweke bayana
 
M
mm huwa nawaza unabaki na picha, message kweni ugundue nn?? Bro kama unacheat make sure unakuwa Huna ushahidi wowote kweny simu yako hata kama mkeo/ mumeo huwa hashiki simu yako. Ujue ipo siku utaumbuka tuu.
Mbaya usikute alishapiga mashangazi aliyonayo yakiwa Uchi
 
Wakuu salama?

Aisee aiseee kimenuka tiyari hapa nyumbani kwangu kati yangu mimi na mama solomonii. Mimi ni mwanaume wa early 30's niko na mke na familia ya watoto kadhaa. Mimi siku zote huwa ni muumini wa faragha na uhuru binafsi hivyo huwa sitaki wife aguse simu yangu na wala mimi kuchokonoa simu yake, japokuwa yeye huwa ana mahaba sana na simu yangu kiasi pengine ndoto yake ni kuimiliki simu yangu na kuwa na access ya kila pahala yaani.

Sasa mimi kama ilivyo baadhi ya wanaume sijapoa sana niko na mamaz za hapa na pale mixer wa zamani wapya, wakupoozea, mwingine nimezaa Naye chobingo.

Kwa mantiki kwamba wife hana access na simu yangu hivyo huwa sifuti sms wala picha ama calls...za hizo mamaz ninazo mingle nazo siku moja moja kwamba kwa hofu ya kuja kukamatika. Sasa huyu mama kwa namna alivyo na mahaba ya dhati na hii simu sijui kafanyajefanyaje kaijua password ya simu.

Nikawa jana nimerudi zangu home saa 6 usiku nikaacha simu sebuleni nikaenda kulala. Bwana bwana kafukunyua kila kona kuanzia sms, WhatsApp, gallery mpaka koote yaani, naimiliki hii simu toka 2020 na huwa sifuti kitu chochote, kakukutana na balaa zitoo yaani Zito mno.

Ghafla naamshwa nasomewa risala juu ya tabia yangu ya umalaya kupitia ushahidi mujarabu alokutana nao kwa simu yangu, sikutaka kumsikiliza zaidi, kujibizana naye wala kujitetea maana kila kitu kiko wazi kabisa, kitu nimefanya ni kushuka kitandani kwa hasira na aibu kuu na kuelekea kulala chumba cha wageni mpaka sasa ndo nilipo najitafakari na usingizi umepaa mazima.

Hofu yangu kuu ni hatima ya hii ndoa na bila shaka imani ya huyu dada kwangu imepotea kabisaa na ni moja ya kovu kubwa sana limedevelope hapa nyumbani. Sijui tutaishije kwa kweli. Na hii pengine itampelekea kwenda kulipa kisasi, ambapo aweza ishia kujiumiza ama kuniumiza na mimi pia. Tulikuwa na amani humu ndani jamani ila ndo hivyo simu ishaniumbua.

Tafadhali wakurungwa mliowahi kulipitia hili hebu nipeni mwelekeo katika hili natokaje hapa.
Wakati unaoa ulitualika pambana na haliyakooo
 
wakane hao wanawake wote na watoto wao pia mwambie wewe huvutiwi kabisa na wanawake wewe ni ni mwanamke ulie katika mwil wa mwanaume pia mwambie wewe ni lesbian ndio maana hauko na wanaume pia ila yeye tu asipokuelewa kimbia maana ni lazima ukichinje ukilala
 
Mkuu jaribu kufanya hivi,
1. Jifanye unahasira, yaani jifanye ume-mmind kwelikweli kana kwamba kosa ni lake
2. Mwambie ajiandae(Aoge na avae nguo za kutokea) kisha anzeni safari, hakikisha unakahela mfukoni
3. Mkiwa njiani, mwambie "mama Solomon bila shaka unajua kilichotokea jana" basi naomba niambie ni mwanamke gani au mwanamme gani aliyekamili katika njia zake??? Yaani hajawahi kukosea??? Hakika Nikimjua huyo nitamfanyia jambo la ukumbusho
4. Bila shaka hataweza kumtaja, mkiwa mnaendelea na safari yenu, mwambie leo hii umejua siri zangu tena huenda umeijua muda muafaka ili nisiwe mgeni tena kwako bali umenijua katika yote.
5. Mwambie, kama uliweza kuishi na mimi kwa amani miaka yote hii bila kuyajua haya, je si nizaidi ya hayo ukiisha kunijua???
6. Mwisho, mwambie samahani kwa kuujeruhi moyo wako, nakuombea amani iwe pamoja nawe, NISAMEHE na kuniombea niyaepuke haya, kisha ingia dukani mnunulie vyupi, hereni, sidiria n.k kisha mrudi nyumbani kwa amani.
Mnatuchukulia wanawake ni watoto eeh? Nakuhakikishia hivyo vyupi vitaenda kuvuliwa na jirani🤣🤣🤣, hamna msamaha wa kirahisi hivyo🤣
 
Wakuu salama?

Aisee aiseee kimenuka tiyari hapa nyumbani kwangu kati yangu mimi na mama solomonii. Mimi ni mwanaume wa early 30's niko na mke na familia ya watoto kadhaa. Mimi siku zote huwa ni muumini wa faragha na uhuru binafsi hivyo huwa sitaki wife aguse simu yangu na wala mimi kuchokonoa simu yake, japokuwa yeye huwa ana mahaba sana na simu yangu kiasi pengine ndoto yake ni kuimiliki simu yangu na kuwa na access ya kila pahala yaani.

Sasa mimi kama ilivyo baadhi ya wanaume sijapoa sana niko na mamaz za hapa na pale mixer wa zamani wapya, wakupoozea, mwingine nimezaa Naye chobingo.

Kwa mantiki kwamba wife hana access na simu yangu hivyo huwa sifuti sms wala picha ama calls...za hizo mamaz ninazo mingle nazo siku moja moja kwamba kwa hofu ya kuja kukamatika. Sasa huyu mama kwa namna alivyo na mahaba ya dhati na hii simu sijui kafanyajefanyaje kaijua password ya simu.

Nikawa jana nimerudi zangu home saa 6 usiku nikaacha simu sebuleni nikaenda kulala. Bwana bwana kafukunyua kila kona kuanzia sms, WhatsApp, gallery mpaka koote yaani, naimiliki hii simu toka 2020 na huwa sifuti kitu chochote, kakukutana na balaa zitoo yaani Zito mno.

Ghafla naamshwa nasomewa risala juu ya tabia yangu ya umalaya kupitia ushahidi mujarabu alokutana nao kwa simu yangu, sikutaka kumsikiliza zaidi, kujibizana naye wala kujitetea maana kila kitu kiko wazi kabisa, kitu nimefanya ni kushuka kitandani kwa hasira na aibu kuu na kuelekea kulala chumba cha wageni mpaka sasa ndo nilipo najitafakari na usingizi umepaa mazima.

Hofu yangu kuu ni hatima ya hii ndoa na bila shaka imani ya huyu dada kwangu imepotea kabisaa na ni moja ya kovu kubwa sana limedevelope hapa nyumbani. Sijui tutaishije kwa kweli. Na hii pengine itampelekea kwenda kulipa kisasi, ambapo aweza ishia kujiumiza ama kuniumiza na mimi pia. Tulikuwa na amani humu ndani jamani ila ndo hivyo simu ishaniumbua.

Tafadhali wakurungwa mliowahi kulipitia hili hebu nipeni mwelekeo katika hili natokaje hapa.
Atakusamehe ila umeacha doa pia kuwa nae makini sana kuanzia sasa Hivi.
 
Hatari fire 🔥 hyo but kwa kuwa wanawake ni kama watoto anaweza kukuelewa na yakaisha. Usiache kuleta mrejesho tu mkuu
 
..., How? BE A MAN ABOUT IT, USIJITETEE ,WALA KU JUSTIFY ULICHO FANYA, BE A GOOD FATHER,FANYA MAJUKUMU YAKO ,BE A GOOD A LOVER TO HER. Linda tu moyo wako, usianzishe hiyo mijadala na wala usijifanye mbabe and rigid just chill and live.

Usibadili mfumo wako wa maisha, endelea kuwa a good man, ukienda a wrong move tu, uta trade ubaba wako, uanaume wako na hapo itakuwa a turn off kwake mazima...Usibadili mfumo wa maisha fanya majukum yako.....
Hapo naona umemwaga 'siasa' za kisaikolojia zaidi, lakini haujashauri chochote cha maana cha kufanya.

Kusema: 'linda tu moyo wako, usianzishe hiyo mijadala na wala usijifanye mbabe'... 'usibadili mfumo wa maisha fanya majukumu yako'.

Hapo kwa mtu aliye kwenye kibano cha fumanizi la simu, ulichokishauri hakiwezekani.

Atakaporejea chumbani, lazima ataanzishiwa timbwili litakalomfanya azungumze kuhusu swala hilo, kuna maswali na majibu lazima yatatokea ambayo hawezi kuyanyamazia.

Kuna mwanamke kutishia kuondoka nk nk, ndoulitakiwa kuliona hilo na kumshauri kutengeneza statements za kumuwin mke kisaikolojia ili hiyo hali ya mpito ipite kwanza na hayo mengine ndiyo yaendelee au siyo.
 
Back
Top Bottom