Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
Habari ya jioni wana JF. Mko salama jamani?😊
Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.
Yes! natamani sana kuacha kunywa coffee hususani espresso.
na
cappuccino.
Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana🥲
Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?
Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.
Si ndio jamani ee💃💃💃💃💃
Ehee🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.
Yes! natamani sana kuacha kunywa coffee hususani espresso.
cappuccino.
Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana🥲
Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?
Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.
Si ndio jamani ee💃💃💃💃💃
Ehee🧚♀️🧚♀️🧚♀️