Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Kesho kutwa eeh ๐๐๐Basi sawa
Nitafute siku ya gundu kwenye betting(jumamos) ili tuanze rasmi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho kutwa eeh ๐๐๐Basi sawa
Nitafute siku ya gundu kwenye betting(jumamos) ili tuanze rasmi
๐ค๐ค๐Thank you dear
Ngoja niendelee kutumia kama kawaida ni tamu sana
Kwaio na mimi niache bia na ๐ท au?๐jitahidi uache kabla mambo hayajaanza kuwa mengi japo si rahisi kama umezoea.
binafsi nataka niache kula vyakula vyenye mafuta kabisa na nipunguze kula wanga
Haina babeMimi nilikuwa natengeneza viungo vya chai mwenyew Huwa naweka tangawiz na pilipil manga kidogo sahiz naona hali mbaya natumia pilipili manga nyingi na tangawiz kwenye chai Yani chai had iniwashe hasa ndo najielewa
Hiv Haina madhara kiafya?
Yeap! ๐Kesho kutwa eeh ๐๐๐
Dah kama Mimi nimeshidwa kabisa kuachaHabari ya jioni wana jf.mko salama jamani??[emoji4]
Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.
Yes natamani sana kuacha kunywa coffee hususani
espresso
View attachment 2617972na
View attachment 2617999
cappuccino.
Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana๐ฅฒ
Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?
Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.
Si ndio jamani ee[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Ehee[emoji3344][emoji3344][emoji3344]
Sawa kipenzHaina babe
Mamkwe umetisha ๐คฃ๐คฃ๐คฃMie nna addiction ya kubet
Na sitaki kuacha ๐
Kukosa usingizi. Kinywa kutoa harufu mbaya, inaweza kuamsha vidonda vya tumbo, matumizi makubwa na yaliyopitiliza ya kahawa yanaongeza acid mwilini ambayo ndio huleta shida ya vidonda vya tumbo kama unavyo.na madhara yake kiafya ni yapi?
Sa itakuaje mkwe ๐คฃMamkwe umetisha ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ooh jamani kwa Nini tuache kitu kizuri hivyo?yaร ni Ile aroma ni balaa....tunywe tu.Habari ya jioni wana jf. Mko salama jamani?๐
Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.
Yes natamani sana kuacha kunywa coffee hususani espresso.
View attachment 2617972na
View attachment 2617999
cappuccino.
Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana๐ฅฒ
Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?
Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.
Si ndio jamani ee๐๐๐๐๐
Ehee๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธ๐งโโ๏ธ
hiyo usiache mkuu punguzaKwaio na mimi niache bia na ๐ท au?๐
Nimeuliza tu suhitaji ushauri๐ค
Uje twende bana. Acha longoWatu wanaokunywaga coffee wanajionaga wako tofauti kinoma. Uwakute pale Mlimani City Grano Coffee yaani wanajionaga wametusua.
si heri yako Mimi nisipokunywa kvant Kwa usiku nateseka na mwisho hata saa Saba usiku nitatoka nisikilizie penye kelele za bar naenda chukua naipiga najisikia Raha sanaMimi nilikuwa natengeneza viungo vya chai mwenyew Huwa naweka tangawiz na pilipil manga kidogo sahiz naona hali mbaya natumia pilipili manga nyingi na tangawiz kwenye chai Yani chai had iniwashe hasa ndo najielewa
Hiv Haina madhara kiafya?
Dah hii yakibabe zaidiKwani ina shida??๐ณ๐ณ๐ณ
Mie kila asubuhi lazima nipige kahawa tena isiyo na sukari ๐๐๐
Ohoo๐๐si heri yako Mimi nisipokunywa kvant Kwa usiku nateseka na mwisho hata saa Saba usiku nitatoka nisikilizie penye kelele za bar naenda chukua naipiga najisikia Raha sana
ILA NATAKA KUACHA NASHINDWA