Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu akufanyie wepesi utapunguza mwishowe utaachaNinajitahidi ingawa si Kazi nyepesi
Umekuwa mlevi au addicted? 🙈🙈🙈Habari ya jioni wana jf. Mko salama jamani?😊
Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.
Yes natamani sana kuacha kunywa coffee hususani espresso.
View attachment 2617972na
View attachment 2617999
cappuccino.
Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana🥲
Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?
Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.
Si ndio jamani ee💃💃💃💃💃
Ehee🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Ninakunywa muda wowote ninapohisi niko mchovu nikianza na asubuhiUna mda maalum wa kunywa?
Mfano saa 4 asubuhi na saa 9 alasiri?
Kama ndivyo fanya hivi:
Tafuta kinywaji mbadala na ifikapo mida hiyo kunywa au kila unapotani kunywa hicho kinwqaji mbdala
(Lakini tuache utani cappuccino/espresso ninaipenda sana Chakorii )
🥲🥲🥲🥲Tupo pamoja kwa hili nami ni tatizo langu pia unywaji wa kahawa ‘ Gahwa’ na kwa sasa ‘Americano’ kuliko ‘Cappuccino’
Sema mie kuna muda ndo nakunywa hasa asubuhi mpaka saa tisa hivi mchana na nikinywa zaidi ya hapo inategemea hasa kama naingia mazoezi (gym) na hasa kama ratiba yangu ya mazoezi itakuwa kufanya mazoezi ya mguu , mgongo na kifua napenda Ku ‘boost’ kwa kahawa
Watakao toa madhara yake kitabibu hapa watatusaidia wengi wetu wenye huu uraibu , asante mleta huu uzi kwa kuuleta hapa nasi tupate faida kutoka kwa wadau
I mean kutokua na hela.kabisa yaani hata mia😃😃Iko ndani ni sawa la kuikoroga tu😁😁.
Americano with milk aside 😔😔bado coffee imehusika
Na wewe ni dem?Mie nna addiction ya kubet
Na sitaki kuacha 😊
Furahi tu mwanangu mzuriNinakunywa muda wowote ninapohisi niko mchovu nikianza na asubuhi
😁😁mistari ya mwisho imenifurahisha