Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwana ameelewa lips ujue😂Hunitakii mema🤣🤣
Usijali mm mamaangu asipokunywa chai anadai kichwa kinauma Tena Ile chai ya majani mengi ndo anataka anywe ukkpika chai ya viungo vya kawaida lazima aongeze majani ya chai 😀Asante lakini😍😍
Walaaaa😎Hunitakii mema🤣🤣
Kunywa tangawiz unapojisikia kunywa kahawa
Tena wewe Uko na adhabu yako pembeni kaka.Pole Sana sister. Lakini Kama haikuletei madhara sioni Kama una sababu ya kujilaumu na kutaka kuacha.
Au una tatizo la moyo kustuka pindi ukinywa kahawa?
Duh Rafiki ulipofikia 😀utafute tibaSasa ni kikombe kimoja kila siku 🥲🥲 mimi nakunywa zaidi ya vikombe vinne na ni lazima iwe very strong 🥹🥹
Unataka awe na presha ya kupanda?Kunywa tangawiz unapojisikia kunywa kahawa
Tulikubaliana jf hakuna sista bali mkuu...Pole Sana sister. Lakini Kama haikuletei madhara sioni Kama una sababu ya kujilaumu na kutaka kuacha.
Au una tatizo la moyo kustuka pindi ukinywa kahawa?
Chocolate niliwai soma kuwa ina ina caffeine kama kahawa hasa dark chocolate so inaweza serve the same purpose ya kahawaaNinaendelea kujaribu lakini ninashindwa.
Naweza sema leo nitakunywa peppermint tea tu lakini haipiti muda chap uchovu unanikunbuka ghafla naona kahawa ndio suluhisho 😔😔
Ukipata mtu mmoja akakuelewa shukuru Mungu, kuna watu wanalala kwa mganga ili wapate wa kumsalimia tu😁Hanitakii mema mwana🤣
Haina shida, vitu vizuri ni kutumia pamojaYani nifunge safari nije nikufundishe kunywa coffee 🤣🤣nimecheka