mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
kama uko dar kuna sehemu inaitwa FEEDME wanauza decaf.... nenda ukaulizie, mi sipakumbuki nilienda zamani ila ukigoogle unaeza pata 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama uko dar kuna sehemu inaitwa FEEDME wanauza decaf.... nenda ukaulizie, mi sipakumbuki nilienda zamani ila ukigoogle unaeza pata 😂
Nilishamaliza, nangojea hii ya coffe wth uKula vyako kwanza🤣🤣
Usipoleta utaniudhi kaka🤣🤣niletee nitatengeneza scrub ya kusugulia mikuu 😉Ndiyo maana nimeshangaa Sana kukuta mwandishi wa huu uzi ni Chakorii
Kwanza nilidhani upo pande hizi nifanye utaratibu wa kukuletea parcel nyingine ya kahawa.
Ila km unahisi inakusumbua achana nayo. Ofisini Nimeshuhudia kesi kadhaa za watu waliokuwa wametumia hiyo kitu ikawaletea madhara ya moyo na kuanguka.
Msalimie Sana Mr Chriss. Mwisho wa mwezi naweza kutokea pande hizo kuja kula kitimoto.
Nimekuachia my wako ...mwanangu😂Niachie kaka angu🤣🤣
Daah mwanangu hiyo ..hallelujah hadi nimehisi uwepo flani oohOhoooo hallelujah
Ww utafika mbinguni unachachamaaMie nna addiction ya kubet
Na sitaki kuacha 😊
kwanza umenishangaza.Habari ya jioni wana jf. Mko salama jamani?😊
Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.
Yes natamani sana kuacha kunywa coffee hususani espresso.
View attachment 2617972na
View attachment 2617999
cappuccino.
Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana🥲
Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?
Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.
Si ndio jamani ee💃💃💃💃💃
Ehee🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Huwa yuko.. short tempered, basi huwa mimi na Manyanza tunamchokoza akipandisha mori tunacheeka😂😂😂😂Anakuchokoza😁😁
nikiwa na pisi inayo beti kma ww usiku tunachambua mikeka tunalalaMie nna addiction ya kubet
Na sitaki kuacha 😊
Ok... thenI sed I don’t 🤣🤣
Haina madhara. Japo inashauriwa kubadilibadili viungo usile aina moja ya viungo kila siku. Kubadili ni muhimu. Lakini usitumie tu viungo vyenye nyongeza.Mimi nilikuwa natengeneza viungo vya chai mwenyew Huwa naweka tangawiz na pilipil manga kidogo sahiz naona hali mbaya natumia pilipili manga nyingi na tangawiz kwenye chai Yani chai had iniwashe hasa ndo najielewa
Hiv Haina madhara kiafya?
Unakunywa for fun au ukiwa na kazi ndio unakunywa?Tupe Elimu mkuu