Nahisi nimekuwa mlevi wa Coffee, natamani kuacha

Nahisi nimekuwa mlevi wa Coffee, natamani kuacha

Umeanza sasa.

Tumshauri sister Chakorii aachane na matumizi ya kahawa, caffeine inamsumbua.
Kichwa chako kibovu🤣🤣
Juzi ulinioshea nilipokwambia usimwite dadako mkuu,,,ukanitemea mbovu eti kuwa hapa jf hakuna sista wote ni wakuu.

Acha leo nikusitiri...ole wako ujigonge kwa Lenie tena nitakuitia Manyanza akufumue😂😂😂
 
Ndiyo maana nimeshangaa Sana kukuta mwandishi wa huu uzi ni Chakorii

Kwanza nilidhani upo pande hizi nifanye utaratibu wa kukuletea parcel nyingine ya kahawa.

Ila km unahisi inakusumbua achana nayo. Ofisini Nimeshuhudia kesi kadhaa za watu waliokuwa wametumia hiyo kitu ikawaletea madhara ya moyo na kuanguka.

Msalimie Sana Mr Chriss. Mwisho wa mwezi naweza kutokea pande hizo kuja kula kitimoto.
Usipoleta utaniudhi kaka🤣🤣niletee nitatengeneza scrub ya kusugulia mikuu 😉

Nitamfikisha ujumbe wako Kesho tu asubuhi Na mapema.kitimoto kinakusubiri kaka😁

Hauna decaffeinated coffee?
 
Habari ya jioni wana jf. Mko salama jamani?😊

Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.

Yes natamani sana kuacha kunywa coffee hususani espresso.

View attachment 2617972na
View attachment 2617999
cappuccino.

Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana🥲

Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?

Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.

Si ndio jamani ee💃💃💃💃💃
Ehee🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
kwanza umenishangaza.
hiyo kitu ukiacha gafla lazima upate madhara coz ina addiction kuliko alcohol,
chakufanya ni kupunguza concetration yake kama ukuwa unakunywa kikombe kizima anza kunywa robo tatu for 1week,then nusu for one week, then robo for two weeks hpa unaweka cofii kidogo unajazia na maji then unastop kwa kutafuta replacent yake either muda uli kuwa unakunywa cofii agiza maziwa au uji ,juice,yourghot itakufaa
 
Mimi nilikuwa natengeneza viungo vya chai mwenyew Huwa naweka tangawiz na pilipil manga kidogo sahiz naona hali mbaya natumia pilipili manga nyingi na tangawiz kwenye chai Yani chai had iniwashe hasa ndo najielewa
Hiv Haina madhara kiafya?
Haina madhara. Japo inashauriwa kubadilibadili viungo usile aina moja ya viungo kila siku. Kubadili ni muhimu. Lakini usitumie tu viungo vyenye nyongeza.
 
Back
Top Bottom