Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh 😯Mie nna addiction ya kubet
Na sitaki kuacha 😊
Kwanini nimekushangaza mkuu.kwanza umenishangaza.
hiyo kitu ukiacha gafla lazima upate madhara coz ina addiction kuliko alcohol,
chakufanya ni kupunguza concetration yake kama ukuwa unakunywa kikombe kizima anza kunywa robo tatu for 1week,then nusu for one week, then robo for two weeks hpa unaweka cofii kidogo unajazia na maji then unastop kwa kutafuta replacent yake either muda uli kuwa unakunywa cofii agiza maziwa au uji ,juice,yourghot itakufaa
Mbele yako namstahi, anafahamu fika ana uchochoro anapitiaga huwa tunaziba njia analia kama mtotoNaona ulikuwa unamvutia kasi🤣🤣🤣
😀😀Sina mbavu rafiki...Napendaga vitu vigumu vigumu…hiyo naona imekaa kilegelege 😁
Tumsubirie aje kutoa majibu kama ni njeree au moraniHuwa ana short temper, basi huwa mimi na Manyanza tunamchokoza akipandisha mori tunacheeka😂😂😂😂
Hivi Satoh Hirosh ni njere?moran
Mwanamke kuwa addicted na caffe ni mbaya, sidhani hata kama siku zako ziko on rangeKwanini nimekushangaza mkuu.
Asante Kwa hiki ulichokiandika mkuu nitakifanyia kazi
30 Basi hii furaha yangu imetimia. Yeye hana budi kuzidi, bali mimi kupungua.Kaa uweponi mwana wa Mungu.
😁😁
Sasa Manyanza wa nini?Yaani huyu anayejiita kaka yako Satoh Hirosh ni full geu geu, nikimwita Manyanza hapa ataanza kulialia hadi umhurumie🤣🤣
,👐 Hello cute!!Kumbe
Hapa tunapoongea nipo katika operation,Kuna mteja wa Russia ana kontena zake kadhaa,so nimeingia night shift,nagonga kahawa.Usipoleta utaniudhi kaka🤣🤣niletee nitatengeneza scrub ya kusugulia mikuu 😉
Nitamfikisha ujumbe wako Kesho tu asubuhi Na mapema.kitimoto kinakusubiri kaka😁
Hauna decaffeinated coffee?
WEwe masai kuwa makini kulinda boss asiibiwe...Russia unaijua wewe🤣🤣🤣