Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema….Alafu sijawahi kuiona kahawa yenyew pure Yani mbegu zake zenyew live sijawah ziona Wala kuzigusa naziona kwenye makopo n tv😂😂😂@sato Hirosh
Kwakweli sijawahi ziona kabisa
Daah waikeshee..umepinda😂Hivi inasaidia nn kitaalamu
Pwani niliuliza kwann Wazee wanakunywasana kahawa nikaambiwa wanatak wasilale waikeshee 😂😂
Ila kunakipind nilitak kupunguza uzito nikawa natumia nachanganya na limao na tangawiz aisee nilipungua balaa ila sijui inasaidia nn hasa mwilini
Kvenga ni mbaya sana.inafuta kumbukumbu mkuu.si heri yako Mimi nisipokunywa kvant Kwa usiku nateseka na mwisho hata saa Saba usiku nitatoka nisikilizie penye kelele za bar naenda chukua naipiga najisikia Raha sana
ILA NATAKA KUACHA NASHINDWA
😂😂😂Mm huyo unanisingiziaDaah waikeshee..umepinda😂
Unikumbushe kesho.Alafu sijawahi kuiona kahawa yenyew pure Yani mbegu zake zenyew live sijawah ziona Wala kuzigusa naziona kwenye makopo n tv😂😂😂@sato Hirosh
Asante 💃💃💃Mimi ndiyo mteja wako Sasa pale mnadani Kama wewe ni mkulima. Nanunua na kuuza duniani. Nina wateja Russia,America,Canada, UK,Japan,south Korea,south Africa,German,na sehemu zingine.
Nina mashine za kuprocess Kama xeltron color sorter 9100-LEDS RTK na 12000 LEDS CTK,Pia nina coffee gravity table,destoner na heavy plant bulkin machine.
Aise..haya Satoh Hirosh atakuonyesha 😁Kwakweli sijawahi ziona kabisa
Ndio maana Chakorii kacheeeka🤣🤣🤣Mimi ndiyo mteja wako Sasa pale mnadani Kama wewe ni mkulima. Nanunua na kuuza duniani. Nina wateja Russia,America,Canada, UK,Japan,south Korea,south Africa,German,na sehemu zingine.
Nina mashine za kuprocess Kama xeltron color sorter 9100-LEDS RTK na 12000 LEDS CTK,Pia nina coffee gravity table,destoner na heavy plant bulkin machine.
Sawa 😀Unikumbushe kesho.
Mimi nimeoakana na miti ya kahawa kwa upande mmoja
Kwa ishu yoyote ya coffee nakuomba umsikilize Satoh Hirosh tafwazaliNdio maana Chakorii kacheeeka🤣🤣🤣
Satoh Hirosh atamtapeli bure, nitamtumia kahawa matunda mabichi, yakiyoiva na yaliyomenywa aoneAise..haya Satoh Hirosh atakuonyesha 😁
Umejuaje atatapeliwa🤣Satoh Hirosh atamtapeli bure, nitamtumia kahawa matunda mabichi, yakiyoiva na yaliyomenywa aone
Aaliyyah