Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikiwa na kazi karibuni muda wote wa kazi mkuuUnakunywa for fun au ukiwa na kazi ndio unakunywa?
Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app
Muoneeni huruma ndugu yangu japo kidogo😁Mbele yako namstahi, anafahamu fika ana uchochoro anapitiaga huwa tunaziba njia analia kama mtoto
Satoh Hirosh 🤣🤣🤣
Mzee wangu anaweza kuwasimamisha hta wauza kahawa zaidi ya 5 anaonja tu na kukosoa mpka akutane na anayoikubali ndo atawarusu wengne waendeMwenye uraibu huwa akipishana na birika anapata kiu hata jua kali la saa 7 mchana umefikia hatua hiyoMzee
We call it arosto....Yangu imezidi dear nisipokunywa nahisi uchovu😔😔
Hii inaitwa Robusta FAQ inalimwa bukoba. Haina wateja wengi sana duniani compared na ArabicaAlafu sijawahi kuiona kahawa yenyew pure Yani mbegu zake zenyew live sijawah ziona Wala kuzigusa naziona kwenye makopo n tv😂😂😂@sato Hirosh
Inapovunwa shambani inakuwa ndani ya hivi vidude. Kitaalamu tunaita pods. Humo ndani kinakuwa na layers kadhaa maana kabla pod halijawa kavu,linakuwa ni tunda kama zabibu kwa mbali.Alafu sijawahi kuiona kahawa yenyew pure Yani mbegu zake zenyew live sijawah ziona Wala kuzigusa naziona kwenye makopo n tv😂😂😂@sato Hirosh
Mwalimu fake🤣🤣Hii inaitwa Robusta FAQ inalimwa bukoba. Haina wateja wengi sana duniani compared Arabica na
uwache🥹🥹🥹🥹🥹🥹
Huyo Aaliyyah anatakiwa aje Dar aione kahawa live,mwambie pa kulala siyo shida. 😅😅
Wow…piga kazi kaka.