Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema umekali rungu masai😂Ulale Sasa,mwenzio nipo kazini saa hii nakesha mrussi amenikalia kooni anataka mzigo wake kwa wakati. 😅
Ngoja nimpigie kaka yako sasa hivi🤣🤣Ndio ndugu yangu🤣
amen dearMungu akutie nguvu😁
Decaf hata supermarket zimejaakama uko dar kuna sehemu inaitwa FEEDME wanauza decaf.... nenda ukaulizie, mi sipakumbuki nilienda zamani ila ukigoogle unaeza pata 😂
Umeanza lini mazarau?😡😡😡Wangepatikana kama nyie 50 Tanzania ingekuwa TBL
😠😠😡😡😡🤬🤬🤬Hivi kumbe mwandiko wangu umeonekana Uko na madharau ee.
Samahani mkuu
🥂
Muonyeshe hiii huyo dalali wa kahawa😂Unamuandama 🤣🤣🤣
Haikunisumbua. Ilikua regulated intake. Hivyo hata uraibu sikupata.Haikuwa kuwa tatizo baada ya masomo ?
Daaa! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uzi wa kishua huu, uswazi kwetu kahawa mpk apite mgogo kikobe mia,kashata mia
Unakunywa kahawa ya aina ganii..VP husikii uchunguNakunywa zaidi ya mara nne Kwa siku.
Yap nakunywa na sukari lakini pinch of it..
Labda decaffeinated coffee mkuu