Nahisi nimekuwa mlevi wa Coffee, natamani kuacha

Nahisi nimekuwa mlevi wa Coffee, natamani kuacha

Inapovunwa shambani inakuwa ndani ya hivi vidude. Kitaalamu tunaita pods. Humo ndani kinakuwa na layers kadhaa maana kabla pod halijawa kavu,linakuwa ni tunda kama zabibu kwa mbali.

Hapo nilipozungusha red Ni kahawa yenyewe sasa nimeitoa ndani ya pod.
🤛🤛🤛🤛

Naimani kaelewa japo kidogo
 
Unikumbushe kesho.
Mimi nimepakana na miti ya kahawa kwa upande mmoja
Hadi akukumbushe kesho wakati mwenzio nimeshachukua point tatu tayari. 😅😅

Nimeshamwonyesha na somo nimempa. Aaliyyah Kama unataka kuuliza swali lolote la kahawa we niulize tu,Mimi sijibu kesho nakujibu hapa hapa Sasa hivi. 😅😅
 
Hadi akukumbushe kesho wakati mwenzio nimeshachukua point tatu tayari. 😅😅

Nimeshamwonyesha na somo nimempa. Aaliyyah Kama unataka kuuliza swali lolote la kahawa we niulize tu,Mimi sijibu kesho nakujibu hapa hapa Sasa hivi. 😅😅
Wakubwa hatuendagi hivyo kaka
 
Ni kweli kahawa nzuri unywe pasipo sukari.

Espresso iko very strong na ndio maana inakuwa served na glass ya maji pembeni
Bora wewe umenikomeshea huyo mkulima wa kahawa Sanya juu. 😅😅

Ananibishia mtaalamu wa kahawa wakati namfundisha mtu jinsi ya kuitumia. 😅😅
 
Hivi Manyanza ni mkaazi wa Dar? Najua wewe upo chuga.

Siku Mnione mpate kahawa kidogo wakuu. Kahawa ni Bora kwa afya. Bodi ya kahawa (TCB) soon itaanza kampeni ya kuhimiza unywaji wa kahawa hapa Dar es salaam,watakuwa na migahawa inayotembea ya kahawa.
Wow
 
Back
Top Bottom