Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,773
- 51,429
- Thread starter
- #61
Sasa ni kikombe kimoja kila siku 🥲🥲 mimi nakunywa zaidi ya vikombe vinne na ni lazima iwe very strong 🥹🥹mkuu hutaki kuishi miaka mingi embu pitia hapa hivi. ..
BBC walishawai kuandika makala moja hivi kuwa wanywa kahawa huishi miaka mingi link hii hapa
![]()
Watu wanaokunywa kahawa wanaishi miaka mingi: Utafiti - BBC News Swahili
Utafiti huo uliochapishwa kwenye jarida na Annals of Internal Medicine, unasema kuwa unywaji wa kahawa unaweza kuongeza maisha ya mtu.www.bbc.com