Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Nifundishe basi😀Mie nna addiction ya kubet
Na sitaki kuacha 😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nifundishe basi😀Mie nna addiction ya kubet
Na sitaki kuacha 😊
Una mda maalum wa kunywa?Habari ya jioni wana jf.mko salama jamani??😊
Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.
Yes natamani sana kuacha kunywa coffee hususani
espresso
View attachment 2617972na
View attachment 2617999
cappuccino.
Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana🥲
Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?
Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.
Si ndio jamani ee💃💃💃💃💃
Ehee🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Hakuna cha mazingira wala nini. Ndiyo, Finland kuna baridi lakini hakuna connection na kahawa. Na si Finland tu kahawa inanywewa sehemu nyingi tu duniani. Zamani tukiuliza mbona kawawa ina bei na soko kubwa tulikuwa tunadanganywa eti inatumika kutengeza mafuta ya ndege. Yaani watu walikuwa hawaamini jinsi inavyouzwa kwa wingi kuwa yote inakwenda kunywewa.Angalia mazingira ya Finland then uje ufute ulichoandika
Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app
Haina madhara😊👋Mimi nilikuwa natengeneza viungo vya chai mwenyew Huwa naweka tangawiz na pilipil manga kidogo sahiz naona hali mbaya natumia pilipili manga nyingi na tangawiz kwenye chai Yani chai had iniwashe hasa ndo najielewa
Hiv Haina madhara kiafya?
Kumbe shukrani maana Kuna mda ikiwa inachemka ukiingia jikoni lzima upige chafya 😂Haina madhara😊👋
Sawa shukraniSijawahi kusikia kuwa vina madhara, tangawizi au pilipili manga. Zaidi nimesikia wanasema ni vizuri kwa afya. Ni Bongo tu pilipili manga haitumiki kwa wingi lakini nchi za Asia na hata Ulaya, pilipili manga inatumika sana kwenye kupikia na ku-marinate nyama.
Karibu sanaNifundishe basi😀
Ndio, si ina caffeine.nayo ina uraibu?
Kuharibu pesa?Kubeti kuna raha zake mradi tu usizidishe kiasi cha kuharibu pesa kupita kiasi. Kubeti hata unapokosa ni burudani.
Haina shida kabisaKaribu sana
Si upo tayari kupambana na pressure ya kushuka?
😀KhaWatu wanaokunywaga coffee wanajionaga wako tofauti kinoma. Uwakute pale Mlimani City Grano Coffee yaani wanajionaga wametusua.
Basi sawaHaina shida kabisa
AaliyyahKumbe shukrani maana Kuna mda ikiwa inachemka ukiingia jikoni lzima upige chafya 😂
Habari ya jioni wana jf.mko salama jamani??[emoji4]
Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.
Yes natamani sana kuacha kunywa coffee hususani
espresso
View attachment 2617972na
View attachment 2617999
cappuccino.
Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana🥲
Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?
Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.
Si ndio jamani ee[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Ehee[emoji3344][emoji3344][emoji3344]
🤣🤣🤣👋Watu wanaokunywaga coffee wanajionaga wako tofauti kinoma. Uwakute pale Mlimani City Grano Coffee yaani wanajionaga wametusua.
AhyaHakuna cha mazingira wala nini. Ndiyo, Finland kuna baridi lakini hakuna connection na kahawa. Na si Finland tu kahawa inanywewa sehemu nyingi tu duniani. Zamani tukiuliza mbona kawawa ina bei na soko kubwa tulikuwa tunadanganywa eti inatumika kutengeza mafuta ya ndege. Yaani watu walikuwa hawaamini jinsi inavyouzwa kwa wingi kuwa yote inakwenda kunywewa.
Na hizo lips kunywa tu mamiloo 🥰🥰🥰Habari ya jioni wana jf.mko salama jamani??😊
Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.
Yes natamani sana kuacha kunywa coffee hususani
espresso
View attachment 2617972na
View attachment 2617999
cappuccino.
Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana🥲
Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?
Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.
Si ndio jamani ee💃💃💃💃💃
Ehee🧚♀️🧚♀️🧚♀️
Thank you dearAaliyyah
Ndio it can make you sneeze 🤧 na kusneeze ndio Afya yenyewe 😊
Ina faida nyingi sana Kiafya inaongeza curcumin inapokua processed by the body
Supposedly it increases the absorption in the gut of curcumin..and/or decreases the breakdown by the liver😊
Ina unavyomix ndio unapata faida kubwa zaidi 👌
The good thing is that both of them are yummy.. and both have benefits health wise..so it won't hurt to use them together (unless you're sensitive to one or the other in some way)
Endelea kutumia Kipenzi 😊👋