Nahisi nimekuwa mlevi wa Coffee, natamani kuacha

Nahisi nimekuwa mlevi wa Coffee, natamani kuacha

Habari ya jioni wana jf.mko salama jamani??😊

Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.

Yes natamani sana kuacha kunywa coffee hususani
espresso
View attachment 2617972na
View attachment 2617999
cappuccino.



Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana🥲

Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?

Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.

Si ndio jamani ee💃💃💃💃💃
Ehee🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
Una mda maalum wa kunywa?
Mfano saa 4 asubuhi na saa 9 alasiri?
Kama ndivyo fanya hivi:
Tafuta kinywaji mbadala na ifikapo mida hiyo kunywa au kila unapotamani kunywa hicho kinwqaji mbdala

(Lakini tuache utani cappuccino/espresso ninaipenda sana Chakorii )
 
Angalia mazingira ya Finland then uje ufute ulichoandika

Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app
Hakuna cha mazingira wala nini. Ndiyo, Finland kuna baridi lakini hakuna connection na kahawa. Na si Finland tu kahawa inanywewa sehemu nyingi tu duniani. Zamani tukiuliza mbona kawawa ina bei na soko kubwa tulikuwa tunadanganywa eti inatumika kutengeza mafuta ya ndege. Yaani watu walikuwa hawaamini jinsi inavyouzwa kwa wingi kuwa yote inakwenda kunywewa.
 
Sijawahi kusikia kuwa vina madhara, tangawizi au pilipili manga. Zaidi nimesikia wanasema ni vizuri kwa afya. Ni Bongo tu pilipili manga haitumiki kwa wingi lakini nchi za Asia na hata Ulaya, pilipili manga inatumika sana kwenye kupikia na ku-marinate nyama.
Sawa shukrani
 
Kumbe shukrani maana Kuna mda ikiwa inachemka ukiingia jikoni lzima upige chafya 😂
Aaliyyah
Ndio it can make you sneeze 🤧 na kusneeze ndio Afya yenyewe 😊

Ina faida nyingi sana Kiafya inaongeza curcumin inapokua processed by the body

Supposedly it increases the absorption in the gut of curcumin..and/or decreases the breakdown by the liver😊

Ina unavyomix ndio unapata faida kubwa zaidi 👌

The good thing is that both of them are yummy.. and both have benefits health wise..so it won't hurt to use them together (unless you're sensitive to one or the other in some way)

Endelea kutumia Kipenzi 😊👋
 
Habari ya jioni wana jf.mko salama jamani??[emoji4]

Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.

Yes natamani sana kuacha kunywa coffee hususani
espresso
View attachment 2617972na
View attachment 2617999
cappuccino.



Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana🥲

Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?

Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.

Si ndio jamani ee[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Ehee[emoji3344][emoji3344][emoji3344]

Tupo pamoja kwa hili nami ni tatizo langu pia unywaji wa kahawa ‘ Gahwa’ na kwa sasa ‘Americano’ kuliko ‘Cappuccino’

Sema mie kuna muda ndo nakunywa hasa asubuhi mpaka saa tisa hivi mchana na nikinywa zaidi ya hapo inategemea hasa kama naingia mazoezi (gym) na hasa kama ratiba yangu ya mazoezi itakuwa kufanya mazoezi ya mguu , mgongo na kifua napenda Ku ‘boost’ kwa kahawa

Watakao toa madhara yake kitabibu hapa watatusaidia wengi wetu wenye huu uraibu , asante mleta huu uzi kwa kuuleta hapa nasi tupate faida kutoka kwa wadau
 
Hakuna cha mazingira wala nini. Ndiyo, Finland kuna baridi lakini hakuna connection na kahawa. Na si Finland tu kahawa inanywewa sehemu nyingi tu duniani. Zamani tukiuliza mbona kawawa ina bei na soko kubwa tulikuwa tunadanganywa eti inatumika kutengeza mafuta ya ndege. Yaani watu walikuwa hawaamini jinsi inavyouzwa kwa wingi kuwa yote inakwenda kunywewa.
Ahya

Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app
 
Habari ya jioni wana jf.mko salama jamani??😊

Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.

Yes natamani sana kuacha kunywa coffee hususani
espresso
View attachment 2617972na
View attachment 2617999
cappuccino.



Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana🥲

Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?

Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.

Si ndio jamani ee💃💃💃💃💃
Ehee🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
Na hizo lips kunywa tu mamiloo 🥰🥰🥰
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
 

Attachments

  • Screenshot_20230511-182514_Google.jpg
    Screenshot_20230511-182514_Google.jpg
    224.8 KB · Views: 7
Aaliyyah
Ndio it can make you sneeze 🤧 na kusneeze ndio Afya yenyewe 😊

Ina faida nyingi sana Kiafya inaongeza curcumin inapokua processed by the body

Supposedly it increases the absorption in the gut of curcumin..and/or decreases the breakdown by the liver😊

Ina unavyomix ndio unapata faida kubwa zaidi 👌

The good thing is that both of them are yummy.. and both have benefits health wise..so it won't hurt to use them together (unless you're sensitive to one or the other in some way)

Endelea kutumia Kipenzi 😊👋
Thank you dear
Ngoja niendelee kutumia kama kawaida ni tamu sana Yani nishasahau kutumia majani ya chai kabisa
Huwa natengeneza iriki,karafuu na izo pipipili manga na tangawiz
 
Back
Top Bottom