Yeahnayo ina uraibu?
na madhara yake kiafya ni yapi?Yeah
jitahidi uache kabla mambo hayajaanza kuwa mengi japo si rahisi kama umezoea.Ndio🥲🥲
Unakunywa kiasi gani kwa siku au mara ngapi? Bila shaka wewe siyo mnywaji sugu kama unavyodhani. Kuna nchi inaitwa Finland nenda uone jinsi watu wanavyokunywa kahawa! Kuanzia asubuhi mpaka jioni kila siku. Tena siyo instant coffee bali ile iliyokaangwa na kusagwa. Na ni moja ya nchi zenye watu wanaoishi maisha marefu. Kwa ujumla ni kuwa kahawa haina madhara. Labda kama unachanganya na sukari nyingi! Jaribu kunywa kavukavu na utakuja kuona kahawa bila sukari ni nzuri kuliko yenye sukari.Sijaelewa ulichoandika chief
Anko anza tiba ya maji na ndimu ama changanya na asali kidogoHabari ya jioni wana jf.mko salama jamani??[emoji4]
Ninaimani kichwa cha habari kinajieleza vyema.
Yes natamani sana kuacha kunywa coffee hususani
espresso
View attachment 2617972na
View attachment 2617999
cappuccino.
Nisipokunywa Kwa asilimia 60 siku yangu inakuwa ya hivyo sana🥲
Nifanye nini ili niweze kuacha kunywa?
Kama kuna mtu yeyote humu ndani ana changamoto ambayo anahitaji utatuzi (msaada) tafadhali drop your comment hapa unaweza pata msaada.
Si ndio jamani ee[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Ehee[emoji3344][emoji3344][emoji3344]
Sijawahi kusikia kuwa vina madhara, tangawizi au pilipili manga. Zaidi nimesikia wanasema ni vizuri kwa afya. Ni Bongo tu pilipili manga haitumiki kwa wingi lakini nchi za Asia na hata Ulaya, pilipili manga inatumika sana kwenye kupikia na ku-marinate nyama.Mimi nilikuwa natengeneza viungo vya chai mwenyew Huwa naweka tangawiz na pilipil manga kidogo sahiz naona hali mbaya natumia pilipili manga nyingi na tangawiz kwenye chai Yani chai had iniwashe hasa ndo najielewa
Hiv Haina madhara kiafya?
Angalia mazingira ya Finland then uje ufute ulichoandikaUnakunywa kiasi gani kwa siku au mara ngapi? Bila shaka wewe siyo mnywaji sugu kama unavyodhani. Kuna nchi inaitwa Finland nenda uone jinsi watu wanavyokunywa kahawa! Kuanzia asubuhi mpaka jioni kila siku. Tena siyo instant coffee bali ile iliyokaangwa na kusagwa. Na ni moja ya nchi zenye watu wanaoishi maisha marefu. Kwa ujumla ni kuwa kahawa haina madhara. Labda kama unachanganya na sukari nyingi! Jaribu kunywa kavukavu na utakuja kuona kahawa bila sukari ni nzuri kuliko yenye sukari.
Kubeti kuna raha zake mradi tu usizidishe kiasi cha kuharibu pesa kupita kiasi. Kubeti hata unapokosa ni burudani.Mie nna addiction ya kubet
Na sitaki kuacha 😊