Nahisi nina bahati mbaya, au siyo fungu langu?

Nahisi nina bahati mbaya, au siyo fungu langu?

careenjibebe

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2020
Posts
1,604
Reaction score
1,652
Mie nimehongwa gari bila kadi lakini hata mafuta siwekewi wala sevisi[emoji1751] mimi na jjemba naipenda kwelikweli na tuna mwaka sasa na miez sita lakini hanitrit vizuri hata kidogo..mpaka akiona nataka kumuacha yaani nimemchunia hata meseji situmi wala sionani naye bas hapo atakuja kwa magot atafanya mbinu zote hata hela atanipa namie nusu saa kubwa nalainika ila baada ya happ mambo ni yaleyale yaani hata ushauri tu nikiomba hanipi ananyamaza ila yeye anaomba na ananishirikisha baadhi ya mambo yake tena magumu...hata nikiomba hela sipewi

Haya ukiacha huyo nina bwana wa kuzugia tu na ana hela lakin jaman siku nikiwa na shida kabisa imenifika hapa sipewi hela hata
Sasa najiuliza ni kuwa sina bahat kwenye hili fungu la kupendwa au ni stail yangu ya maisha? Nifanyaje? Nijibadilishe vip sasa? Nachokaaa tangu juzi nipo kwenye lundo la mawazo japo nikiwaza kidogo nashika simu najisahaulisha.
 
Nilisoma vibaya I'd nikaona Carleen..
Nikasoma threads nikabaki nnashangaa

Hadi nimesoma tena I'd ndo kidogo nimeelewa..

Nilichoambulia ni hiyo title ya 'bwana wa kuzugia'..


Usikute wengi tunaitwa hivyo hatujijui
 
Olewa!. Acha kudanga.

Otherwise, find your own fucking money.
Siyo kwamba nadanga hata mie nina hela yangu tu lakini jaman niko na mwanaume si hata anipe heshima tu? Hata ushauri? Ndo niko natafuta hivo Wakunioa lakin sioni sijui nibak peke yangu tu niachane nao? Lakin msimamo huo sina sasa kwasabu na nyege
 
Nilisoma vibaya I'd nikaona Carleen..
Nikasoma threads nikabaki nnashangaa

Hadi nimesoma tena I'd ndo kidogo nimeelewa..

Nilichoambulia ni hiyo title ya 'bwana wa kuzugia'..


Usikute wengi tunaitwa hivyo hatujijui

Carleen anajielewa, hii ni kaliba tofauti kabisa na mambo yake.

Una maoni gani kwa mleta uzi?
 
Shida yangu hapo siyo hela ujue
Uza gari ulilonunuliwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38] Kama haliuziki bhasi jua anakutumia mwisho wa siku hata hilo gari atakupokonyaa na utabaki unaliaa tu.. Unasema una hela tafuta mwanaume ambae anajiweza lakini sio wa kukuhonga gari huyo kakuhonga gari lakini muda wake anautumia kwingine so vumilia.. Enjoy gari akiwa na genye mtaenjoy pia ila Ndoa hapo ni ndotoo
 
Back
Top Bottom