Capslock
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,089
- 4,816
Jamani si unataka hela njoo hata saiz tuyajenge.
Umenielewa vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenielewa vibaya
Hata mie huyu wa gar namtumia kama siyo gar nisingemkubal na anajua..ila mwanamke kutafuta mwanaume ni vigumu sana! NampatajeUza gari ulilonunuliwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38] Kama haliuziki bhasi jua anakutumia mwisho wa siku hata hilo gari atakupokonyaa na utabaki unaliaa tu.. Unasema una hela tafuta mwanaume ambae anajiweza lakini sio wa kukuhonga gari huyo kakuhonga gari lakini muda wake anautumia kwingine so vumilia.. Enjoy gari akiwa na genye mtaenjoy pia ila Ndoa hapo ni ndotoo
Kwani wewe hutongozwi????Hata mie huyu wa gar namtumia kama siyo gar nisingemkubal na anajua..ila mwanamke kutafuta mwanaume ni vigumu sana! Nampataje
Aongeze Tu mwingine
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nilisoma vibaya I'd nikaona Carleen..
Nikasoma threads nikabaki nnashangaa
Hadi nimesoma tena I'd ndo kidogo nimeelewa..
Nilichoambulia ni hiyo title ya 'bwana wa kuzugia'..
Usikute wengi tunaitwa hivyo hatujijui
Kwahiyo ingekua bure ndiyo ningetritiwa vizuri eti?Upewe pesa, upewe gari, alafu akutreat vizuri?
I have some bad news for you, bidhaa unayouza inapatikana kwingine kwa bei nafuu sana!
Ndio nalipwa take home laki sita na pesa kidoogoUnafanya kazi?
Sijatapeli! Ila nachotafuta hapa ni kupendwa niFanyaje?nitriwe kama navyostahili? Nishike mmojaDada yangu acha utapeli, jifunze kutafuta vyako, usitegemee hela ya kuhongwa. Fanya kazi kwa bidii, jitume upate vyako tumia mwili wako kama sehemu ya starehe pale unapohitaji, tafuta mwanaume mmoja ambae utamthamini na kumpenda zaidi ya hapo labda kama unauza/unadanga sawa.
Kila laheri kwenye majukumu yako ya udangaji, kumbuka wengi wa aina hii wameishia kubaya sana
Wanaonitongoza wote siwataki nayemtaka ndiyo huyo mmoja alinitongoza nikamkubalia na tuna mwaka naa lakin sasa mpaka aone nimekasirika nataka kumuacha ndiyo atanitamkia hata i love u tu..nadhni yeye ananichukulia wa kupita wakat mi namchukulia mwanaume sahihi sasa nifanyaje?Kwani wewe hutongozwi????
Wa kwako siyo? Haunihusu..sipendi matusi tafadhali kaa kimya tuHuu usenge sasa..
Narudia tena huu ni usenge.Wa kwako siyo? Haunihusu..sipendi matusi tafadhali kaa kimya tu
Asante ila mi nimuoga jaman..na vilecjui uongo walahUza hio gari vipandevipande then report kuibiwa baada ya hapo soo likitulia nunua gari yako ukae na kadi yako pia usisahau kulipia consultancy fee yangu
Atauzia nan bila card?[emoji23][emoji23][emoji23]Uza gari ulilonunuliwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38] Kama haliuziki bhasi jua anakutumia mwisho wa siku hata hilo gari atakupokonyaa na utabaki unaliaa tu.. Unasema una hela tafuta mwanaume ambae anajiweza lakini sio wa kukuhonga gari huyo kakuhonga gari lakini muda wake anautumia kwingine so vumilia.. Enjoy gari akiwa na genye mtaenjoy pia ila Ndoa hapo ni ndotoo
Nisaiden kumripoti huyu mimi sijui..maana siwez kuhimili matusi bila sababu za msingi na nimemkanya haelewi..Narudia tena huu ni usenge.
Njoo pm nikufundishe jinsi ya kuripoti.Nisaiden kumripoti huyu mimi sijui..maana siwez kuhimili matusi bila sababu za msingi na nimemkanya haelewi..