Nahisi nina bahati mbaya, au siyo fungu langu?

Nahisi nina bahati mbaya, au siyo fungu langu?

Uza gari ulilonunuliwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38] Kama haliuziki bhasi jua anakutumia mwisho wa siku hata hilo gari atakupokonyaa na utabaki unaliaa tu.. Unasema una hela tafuta mwanaume ambae anajiweza lakini sio wa kukuhonga gari huyo kakuhonga gari lakini muda wake anautumia kwingine so vumilia.. Enjoy gari akiwa na genye mtaenjoy pia ila Ndoa hapo ni ndotoo
Hata mie huyu wa gar namtumia kama siyo gar nisingemkubal na anajua..ila mwanamke kutafuta mwanaume ni vigumu sana! Nampataje
 
Dada yangu acha utapeli, jifunze kutafuta vyako, usitegemee hela ya kuhongwa. Fanya kazi kwa bidii, jitume upate vyako tumia mwili wako kama sehemu ya starehe pale unapohitaji, tafuta mwanaume mmoja ambae utamthamini na kumpenda zaidi ya hapo labda kama unauza/unadanga sawa.
Kila laheri kwenye majukumu yako ya udangaji, kumbuka wengi wa aina hii wameishia kubaya sana
 
Nilisoma vibaya I'd nikaona Carleen..
Nikasoma threads nikabaki nnashangaa

Hadi nimesoma tena I'd ndo kidogo nimeelewa..

Nilichoambulia ni hiyo title ya 'bwana wa kuzugia'..


Usikute wengi tunaitwa hivyo hatujijui
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bwana wa kuzugia.
 
Upewe pesa, upewe gari, alafu akutreat vizuri?

I have some bad news for you, bidhaa unayouza inapatikana kwingine kwa bei nafuu sana!
 
Dada yangu acha utapeli, jifunze kutafuta vyako, usitegemee hela ya kuhongwa. Fanya kazi kwa bidii, jitume upate vyako tumia mwili wako kama sehemu ya starehe pale unapohitaji, tafuta mwanaume mmoja ambae utamthamini na kumpenda zaidi ya hapo labda kama unauza/unadanga sawa.
Kila laheri kwenye majukumu yako ya udangaji, kumbuka wengi wa aina hii wameishia kubaya sana
Sijatapeli! Ila nachotafuta hapa ni kupendwa niFanyaje?nitriwe kama navyostahili? Nishike mmoja
 
Kwani wewe hutongozwi????
Wanaonitongoza wote siwataki nayemtaka ndiyo huyo mmoja alinitongoza nikamkubalia na tuna mwaka naa lakin sasa mpaka aone nimekasirika nataka kumuacha ndiyo atanitamkia hata i love u tu..nadhni yeye ananichukulia wa kupita wakat mi namchukulia mwanaume sahihi sasa nifanyaje?
 
Uza gari ulilonunuliwa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38] Kama haliuziki bhasi jua anakutumia mwisho wa siku hata hilo gari atakupokonyaa na utabaki unaliaa tu.. Unasema una hela tafuta mwanaume ambae anajiweza lakini sio wa kukuhonga gari huyo kakuhonga gari lakini muda wake anautumia kwingine so vumilia.. Enjoy gari akiwa na genye mtaenjoy pia ila Ndoa hapo ni ndotoo
Atauzia nan bila card?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom