Nahisi nina bahati mbaya, au siyo fungu langu?

Nahisi nina bahati mbaya, au siyo fungu langu?

Asante ila mi nimuoga jaman..na vilecjui uongo walah
Hujui uongo wakati umewapanga? Hii dunia haiachi kushangaza, yaani wapo zaidi ya mmoja halafu unasema wewe ni muoga na hujui kusema uongo...wtf hakyanani!
 
Jibebe is the name. Maam utakuwa una attitudes sana sema mtamu. Hivyo hapendeki lakini hauachiki (nyege zikija)

Usikute huyo Bwana wa kuzugia na wewe anakuchukulia wa kuzugia
Sasa nifanyaje? Inawezekana maana naambiwaga mtam
 
Tafuta bwana mwingine wa tatu wa KUZUGIA lakini hakikisha ana pesa pia hana mkono wa BIRIKA. 😜

Mie nimehongwa gar bila kadi lakini hata mafuta siwekewi wala sevisi[emoji1751] mimi na jjemba naipenda kwelikweli na tuna mwaka sasa na miez sita lakini hanitrit vizuri hata kidogo..mpaka akiona nataka kumuacha yaani nimemchunia hata meseji situmi wala sionani naye bas hapo atakuja kwa magot atafanya mbinu zote hata hela atanipa namie nusu saa kubwa nalainika ila baada ya happ mambo ni yaleyale yaani hata ushauri tu nikiomba hanipi ananyamaza ila yeye anaomba na ananishirikisha baadhi ya mambo yake tena magumu...hata nikiomba hela sipewi

Haya ukiacha huyo nina bwana wa kuzugia tu na ana hela lakin jaman siku nikiwa na shida kabisa imenifika hapa sipewi hela hata
Sasa najiuliza ni kuwa sina bahat kwenye hili fungu la kupendwa au ni stail yangu ya maisha? Nifanyaje? Nijibadilishe vip sasa? Nachokaaa tangu juzi nipo kwenye lundo la mawazo japo nikiwaza kidogo nashika simu najisahaulisha.
 
Hujui uongo wakati umewapanga? Hii dunia haiachi kushangaza, yaani wapo zaidi ya mmoja halafu unasema wewe ni muoga na hujui kusema uongo...wtf hakyanani!
Unanifanya najisikia vibaya ujue
 
Aliyeninga gar ndiye ana mwanamke kazaa naye na bado wanamahusiano ila wanashindwana din huyu nayempenda hana mke
Sasa kama ana mke tambua yupo na mkewe karibu hivyo kupetpetiwa usitegemee kwa saana tafuta wa kwako acha tamaa
 
Men dont pay for cheap woman.

Bana mapaja sura ya kimalaya ikutoke utapata wanaume wanaoleweka
 
Back
Top Bottom