Nilisoma vibaya I'd nikaona Carleen..
Nikasoma threads nikabaki nnashangaa
Hadi nimesoma tena I'd ndo kidogo nimeelewa..
Nilichoambulia ni hiyo title ya 'bwana wa kuzugia'..
Usikute wengi tunaitwa hivyo hatujijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilisoma vibaya I'd nikaona Carleen..
Nikasoma threads nikabaki nnashangaa
Hadi nimesoma tena I'd ndo kidogo nimeelewa..
Nilichoambulia ni hiyo title ya 'bwana wa kuzugia'..
Usikute wengi tunaitwa hivyo hatujijui
this is sooo you kaka mkubwa,
don't waste your precious energy,Nilisoma vibaya I'd nikaona Carleen..
Nikasoma threads nikabaki nnashangaa
Hadi nimesoma tena I'd ndo kidogo nimeelewa..
Nilichoambulia ni hiyo title ya 'bwana wa kuzugia'..
Usikute wengi tunaitwa hivyo hatujijui
Jina lako tulina tosha kukuhukumu (Careen jibebe) hiyo jibebe ndio linakutesa. Hao mabwana ndio wanakuzibia kupata mwenza wa kukuoaSiyo kwamba nadanga hata mie nina hela yangu tu lakini jaman niko na mwanaume si hata anipe heshima tu? Hata ushauri? Ndo niko natafuta hivo Wakunioa lakin sioni sijui nibak peke yangu tu niachane nao? Lakin msimamo huo sina sasa kwasabu na nyege
Olewa!. Acha kudanga.
Otherwise, find your own fucking money.
Carleen uko deep angali we ni mfupi [emoji1][emoji1][emoji1]don't waste your precious energy,
Hakuna mwanamke ako na huo mwandiko..!
SawaMe nafkiri ifike time ..We Careen Ujibebe tuu no way out
JamanUmehongwa gari
Na una bwana wawili
Afu unajiita una bahati mbaya?.!
Dada Jiheshimu
Hoja ya mjumbe hapo juu.. ni kwamba wewe unafanywa kama huduma ya uber ... so waliokupa vitu wameweka kama his zao pindi wanapohitaji gawio wanakujia.Kwahiyo ingekua bure ndiyo ningetritiwa vizuri eti?
Muda mwingine wanaume wengine wanawafanyia wanawake wanayoyataka....Sijatapeli! Ila nachotafuta hapa ni kupendwa niFanyaje?nitriwe kama navyostahili? Nishike mmoja
Hahaa..!!Carleen uko deep angali we ni mfupi [emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
inabidi ufanye kazi ya ziada ya kubadilisha picha yako kichwani kwangu.. nakuona kama mschana mmoja hivi mzuri mfupi una mwili una nywele zako huhitaji weaving, mcheshi mpenda watu ila sasa kwenye gubu... mama weeHahaa..!!
King kama King..!
Sema ningekuwa mfupi ningelia jamani..!
Hahahahaa...!!inabidi ufanye kazi ya ziada ya kubadilisha picha yako kichwani kwangu.. nakuona kama mschana mmoja hivi mzuri mfupi una mwili una nywele zako huhitaji weaving, mcheshi mpenda watu ila sasa kwenye gubu... mama wee
and you are not really a nagging person ila huwezi kuacha mambo yapite hivihivi until you prove ur point.. sasa hapo ndo unapoonekana una gubu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
samee bure ila hako ndo kapicha nlikonako kuhu Mwanamwali Carleen [emoji854]
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app