Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Nimeelewa sasa,,, wanakuja kukupa muongozo!Hiv mpaka mtu anakupa gar bado hakutaki? Mpaka nina wanaume watatu kwa wakat mmoja bado sitakiwi? Hujaelewa nachotaka tulia usome tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeelewa sasa,,, wanakuja kukupa muongozo!Hiv mpaka mtu anakupa gar bado hakutaki? Mpaka nina wanaume watatu kwa wakat mmoja bado sitakiwi? Hujaelewa nachotaka tulia usome tena
Olewa!. Acha kudanga.
Otherwise, find your own fucking money.
Haha huyu huenda ni mrembo lkn mukichwa manunu ya wema yamejaaNimeelewa sasa,,, wanakuja kukupa muongozo!
Hahahahahah huyu dem chizi kipindi cha nyuma alikuja kutafta vidume kibabe naona sahizi kalegeza masharti uso ushaanza kuchuma kunde😅😂😂Haha huyu huenda ni mrembo lkn mukichwa manunu ya wema yamejaa
Kuna midemu ya kupunguzia mabeberu tu, hili huwa hawalijuiHahahahahah huyu dem chizi kipindi cha nyuma alikuja kutafta vidume kibabe naona sahizi kalegeza masharti uso ushaanza kuchuma kunde[emoji28][emoji23][emoji23]
Sasa wahun wanapiga na kusepa hadi anajihisi ana mikosiKuna midemu ya kupunguzia mabeberu tu, hili huwa hawalijui
Sio mikosi bali huko juu serikali kuu kuna gap, hakuna ushirikiano, so inabaki butua butua tu kusubiria dakika 90 zifikeSasa wahun wanapiga na kusepa hadi anajihisi ana mikosi
Kama unayo Pesa kwnn uombe?Siyo kwamba nadanga hata mie nina hela yangu tu lakini jaman niko na mwanaume si hata anipe heshima tu? Hata ushauri? Ndo niko natafuta hivo Wakunioa lakin sioni sijui nibak peke yangu tu niachane nao? Lakin msimamo huo sina sasa kwasabu na nyege
Staili ya maisha yako, anza kujitegemea!Mie nimehongwa gari bila kadi lakini hata mafuta siwekewi wala sevisi[emoji1751] mimi na jjemba naipenda kwelikweli na tuna mwaka sasa na miez sita lakini hanitrit vizuri hata kidogo..mpaka akiona nataka kumuacha yaani nimemchunia hata meseji situmi wala sionani naye bas hapo atakuja kwa magot atafanya mbinu zote hata hela atanipa namie nusu saa kubwa nalainika ila baada ya happ mambo ni yaleyale yaani hata ushauri tu nikiomba hanipi ananyamaza ila yeye anaomba na ananishirikisha baadhi ya mambo yake tena magumu...hata nikiomba hela sipewi
Haya ukiacha huyo nina bwana wa kuzugia tu na ana hela lakin jaman siku nikiwa na shida kabisa imenifika hapa sipewi hela hata
Sasa najiuliza ni kuwa sina bahat kwenye hili fungu la kupendwa au ni stail yangu ya maisha? Nifanyaje? Nijibadilishe vip sasa? Nachokaaa tangu juzi nipo kwenye lundo la mawazo japo nikiwaza kidogo nashika simu najisahaulisha.
Mwambie ya moyoni mwako, asipokuelewa endelea kutafuta.Wanaonitongoza wote siwataki nayemtaka ndiyo huyo mmoja alinitongoza nikamkubalia na tuna mwaka naa lakin sasa mpaka aone nimekasirika nataka kumuacha ndiyo atanitamkia hata i love u tu..nadhni yeye ananichukulia wa kupita wakat mi namchukulia mwanaume sahihi sasa nifanyaje?
Una matatizo wewe...hebu potea kwenye uzi wangu maana nachoongea na unacholeta tofauti..Hahahahahah huyu dem chizi kipindi cha nyuma alikuja kutafta vidume kibabe naona sahizi kalegeza masharti uso ushaanza kuchuma kunde[emoji28][emoji23][emoji23]
Wacha nijitafakari kwa hiliHaha huyu huenda ni mrembo lkn mukichwa manunu ya wema yamejaa
Sawa manunuUna matatizo wewe...hebu potea kwenye uzi wangu maana nachoongea na unacholeta tofauti..
Aaah sio mimi ni nature[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Roho mbaya hio
Ni kweli na mie kama kiongozi nakuamuru uje P.M mara moja tuteteAaah sio mimi ni nature[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie si ndio viongozi wetu jamani!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie kama kiongozi nakuamuru uje P.M
Chizi yule,,, msaidieni mwenzenu atakufa na uchupa 😅😅😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nenda kwa careen ukampe mwongozo.
Sasa sisi tunamsaidia nini watati ninyi ndio anawataka? Do the needful bwana, kamwage midolari na mahaba.Chizi yule,,, msaidieni mwenzenu atakufa na uchupa [emoji28][emoji28][emoji28]
Ha ha mpeni mbinu sasa,,,maana sie hatuchukui mizigo sikuhizi! Mtu ambaye hajielewi aende kwa wasiojielewa wenzieSasa sisi tunamsaidia nini watati ninyi ndio anawataka? Do the needful bwana, kamwage midolari na mahaba.
Ndo umsaidie ajielewe, huo ndio uanaume.Ha ha mpeni mbinu sasa,,,maana sie hatuchukui mizigo sikuhizi! Mtu ambaye hajielewi aende kwa wasiojielewa wenzie
He he he he nimewaachia wengine wampe muongozo😅Ndo umsaidie ajielewe, huo ndio uanaume.