Nahisi nina bahati mbaya, au siyo fungu langu?

Nahisi nina bahati mbaya, au siyo fungu langu?

Huwezi achana nao sababu una nyege acha kuziendekeza nyege mwanaume hakupi heshima hajui umuhimu wako labda anakutafuta akiwa na shida zake wa nini sasa huyo matatizo mengine
unajitafutia mwenyewe kama hivyo

Na shida mwanaume ukimuonyesha unampenda tu ndio shida inapoanzia
Asante! Nimekuelewa wacha nijaribu
 
Wewe ni miongoni mwa wanawake wapumbavu wasiostahili upendo wa mtu mwema.Hapo umekiri unagawa kwa wanaume wawili na wote unawadanganya mbaya zaidi unaonekana kuwa hauna mapenzi ya dhati bali ni tamaa ya kuhudumiwa.Nakushauri umrudie Mungu wako akupe mume wako utakayempenda kutoka moyoni na uishi kwa amani pasipo na tamaa.
Maneno yako yameniingia kumoyo lakini..ninaye ninayempenda ila sasa yeye ndiye simuelewi..yaani hanijali kama navyomjali mpaka akiona nimekasirika natakan kumuacha kabisa ndiyo unamuona anljirudi na msamaha ananiomba japo hanionesh kma ana mwanamke mwingine ila tabia yake ya uselfish tu inanikera sana anaweza kuamua tu mambo ya ovyoo
 
Huyu ni wewe?
Screenshot_20210810-104655_Facebook.jpg
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hutu tumtu tuchoyo tuchoyo tunakeraaa!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aachane nao bwana kasema eti shida ni nyege aache kuziendekeza zikizidi anawe na maji ya moto
 
Mie nimehongwa gari bila kadi lakini hata mafuta siwekewi wala sevisi[emoji1751] mimi na jjemba naipenda kwelikweli na tuna mwaka sasa na miez sita lakini hanitrit vizuri hata kidogo..mpaka akiona nataka kumuacha yaani nimemchunia hata meseji situmi wala sionani naye bas hapo atakuja kwa magot atafanya mbinu zote hata hela atanipa namie nusu saa kubwa nalainika ila baada ya happ mambo ni yaleyale yaani hata ushauri tu nikiomba hanipi ananyamaza ila yeye anaomba na ananishirikisha baadhi ya mambo yake tena magumu...hata nikiomba hela sipewi

Haya ukiacha huyo nina bwana wa kuzugia tu na ana hela lakin jaman siku nikiwa na shida kabisa imenifika hapa sipewi hela hata
Sasa najiuliza ni kuwa sina bahat kwenye hili fungu la kupendwa au ni stail yangu ya maisha? Nifanyaje? Nijibadilishe vip sasa? Nachokaaa tangu juzi nipo kwenye lundo la mawazo japo nikiwaza kidogo nashika simu najisahaulisha.
Onana na wadangaji wa mjini kina Kajala na mwanawe asiyependa shule.
 
Siyo kwamba nadanga hata mie nina hela yangu tu lakini jaman niko na mwanaume si hata anipe heshima tu? Hata ushauri? Ndo niko natafuta hivo Wakunioa lakin sioni sijui nibak peke yangu tu niachane nao? Lakin msimamo huo sina sasa kwasabu na nyege
Kazi ipo!!

Korona ipo na inauwa, vaa barakoa!!
 
Maneno yako yameniingia kumoyo lakini..ninaye ninayempenda ila sasa yeye ndiye simuelewi..yaani hanijali kama navyomjali mpaka akiona nimekasirika natakan kumuacha kabisa ndiyo unamuona anljirudi na msamaha ananiomba japo hanionesh kma ana mwanamke mwingine ila tabia yake ya uselfish tu inanikera sana anaweza kuamua tu mambo ya ovyoo
Hakuna aliye mkamilifu.Ni heri uwe na cha kwako mwenyewe ambaye mtavumiliana naye katika shida na raha,Hayo ndiyo mapenzi ya kweli.Dhambi mbili ambazo hata Biblia imeruhusu hatua kali kuchukuliwa 1:Usimuache mwanamke mchawi kuishi 2:Usimuache mkeo isipokuwa kwa dhambi ya uzinzi.

Uzinzi ni USALITI mkubwa sana.Ndiyo maana hata YUDA baada ya kusaliti hakusamehewa mpaka alipojinyonga.

Jaribu kufikiria maumivu atakayopata mwenzi wako atakapojua unamsaliti, Ke na wewe ungependa usalitiwe?.Nakushauri kuwa muwazi kama hauna mapenzi ya dhati kutoka moyoni ni heri umueleze ukweli.Kwa huyo ambaye unampenda kwa dhati ni heri umueleze pia mkae mzungumze,Ma uwe tayari kuishi naye kwa shida na raha huku mkivumiliana kwa mapungufu yenu kwa kuwa hakuna aliye mkamilifu.
 
Hata mie huyu wa gar namtumia kama siyo gar nisingemkubal na anajua..ila mwanamke kutafuta mwanaume ni vigumu sana! Nampataje
We sidhani kama ni mwanamke halisi😅 mwanamke anapataje tabu kupata mwanaume?
 
Utakuwa na tatizo bila shaka [emoji28] samahani lakini, hisia zinanituma hivyo! Una nini mpaka watu wasikutake huko kitaani kwako?
Hiv mpaka mtu anakupa gar bado hakutaki? Mpaka nina wanaume watatu kwa wakat mmoja bado sitakiwi? Hujaelewa nachotaka tulia usome tena
 
Back
Top Bottom