Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Antie yangu ningeshangaa nisingekukuta hapaUnafanya kazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Antie yangu ningeshangaa nisingekukuta hapaUnafanya kazi?
Asante! Nimekuelewa wacha nijaribuHuwezi achana nao sababu una nyege acha kuziendekeza nyege mwanaume hakupi heshima hajui umuhimu wako labda anakutafuta akiwa na shida zake wa nini sasa huyo matatizo mengine
unajitafutia mwenyewe kama hivyo
Na shida mwanaume ukimuonyesha unampenda tu ndio shida inapoanzia
Maneno yako yameniingia kumoyo lakini..ninaye ninayempenda ila sasa yeye ndiye simuelewi..yaani hanijali kama navyomjali mpaka akiona nimekasirika natakan kumuacha kabisa ndiyo unamuona anljirudi na msamaha ananiomba japo hanionesh kma ana mwanamke mwingine ila tabia yake ya uselfish tu inanikera sana anaweza kuamua tu mambo ya ovyooWewe ni miongoni mwa wanawake wapumbavu wasiostahili upendo wa mtu mwema.Hapo umekiri unagawa kwa wanaume wawili na wote unawadanganya mbaya zaidi unaonekana kuwa hauna mapenzi ya dhati bali ni tamaa ya kuhudumiwa.Nakushauri umrudie Mungu wako akupe mume wako utakayempenda kutoka moyoni na uishi kwa amani pasipo na tamaa.
Siyo kweli umeelewa vibayaTatzo unataka utajiri kwa kudanga na nnakuhakikishia sehem za siri zitazeeka
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Antie yangu ningeshangaa nisingekukuta hapa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aachane nao bwana kasema eti shida ni nyege aache kuziendekeza zikizidi anawe na maji ya moto[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hutu tumtu tuchoyo tuchoyo tunakeraaa!
Huh!! Basi hayuko serious[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aachane nao bwana kasema eti shida ni nyege aache kuziendekeza zikizidi anawe na maji ya moto
Onana na wadangaji wa mjini kina Kajala na mwanawe asiyependa shule.Mie nimehongwa gari bila kadi lakini hata mafuta siwekewi wala sevisi[emoji1751] mimi na jjemba naipenda kwelikweli na tuna mwaka sasa na miez sita lakini hanitrit vizuri hata kidogo..mpaka akiona nataka kumuacha yaani nimemchunia hata meseji situmi wala sionani naye bas hapo atakuja kwa magot atafanya mbinu zote hata hela atanipa namie nusu saa kubwa nalainika ila baada ya happ mambo ni yaleyale yaani hata ushauri tu nikiomba hanipi ananyamaza ila yeye anaomba na ananishirikisha baadhi ya mambo yake tena magumu...hata nikiomba hela sipewi
Haya ukiacha huyo nina bwana wa kuzugia tu na ana hela lakin jaman siku nikiwa na shida kabisa imenifika hapa sipewi hela hata
Sasa najiuliza ni kuwa sina bahat kwenye hili fungu la kupendwa au ni stail yangu ya maisha? Nifanyaje? Nijibadilishe vip sasa? Nachokaaa tangu juzi nipo kwenye lundo la mawazo japo nikiwaza kidogo nashika simu najisahaulisha.
Kazi ipo!!Siyo kwamba nadanga hata mie nina hela yangu tu lakini jaman niko na mwanaume si hata anipe heshima tu? Hata ushauri? Ndo niko natafuta hivo Wakunioa lakin sioni sijui nibak peke yangu tu niachane nao? Lakin msimamo huo sina sasa kwasabu na nyege
Hakuna aliye mkamilifu.Ni heri uwe na cha kwako mwenyewe ambaye mtavumiliana naye katika shida na raha,Hayo ndiyo mapenzi ya kweli.Dhambi mbili ambazo hata Biblia imeruhusu hatua kali kuchukuliwa 1:Usimuache mwanamke mchawi kuishi 2:Usimuache mkeo isipokuwa kwa dhambi ya uzinzi.Maneno yako yameniingia kumoyo lakini..ninaye ninayempenda ila sasa yeye ndiye simuelewi..yaani hanijali kama navyomjali mpaka akiona nimekasirika natakan kumuacha kabisa ndiyo unamuona anljirudi na msamaha ananiomba japo hanionesh kma ana mwanamke mwingine ila tabia yake ya uselfish tu inanikera sana anaweza kuamua tu mambo ya ovyoo
We sidhani kama ni mwanamke halisi😅 mwanamke anapataje tabu kupata mwanaume?Hata mie huyu wa gar namtumia kama siyo gar nisingemkubal na anajua..ila mwanamke kutafuta mwanaume ni vigumu sana! Nampataje
Kwahio mafurushi ni sie jinsia pinzani tu!?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hakuna mwanamke furushi, hajapata tu MWANAUME wa kumuongoza vyema. Iwe ni baba, kaka au mpenzi.
Ndio ndio.Kwahio mafurushi ni sie jinsia pinzani tu!?
Roho mbaya hioNdio ndio.
Hutuoni huku mitandaoni tukitafuta wanaume wa kutuoa? Nyamaza tuWe sidhani kama ni mwanamke halisi[emoji28] mwanamke anapataje tabu kupata mwanaume?
Utakuwa na tatizo bila shaka 😅 samahani lakini, hisia zinanituma hivyo! Una nini mpaka watu wasikutake huko kitaani kwako?Hutuoni huku mitandaoni tukitafuta wanaume wa kutuoa? Nyamaza tu
Hiv mpaka mtu anakupa gar bado hakutaki? Mpaka nina wanaume watatu kwa wakat mmoja bado sitakiwi? Hujaelewa nachotaka tulia usome tenaUtakuwa na tatizo bila shaka [emoji28] samahani lakini, hisia zinanituma hivyo! Una nini mpaka watu wasikutake huko kitaani kwako?