Karot
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 1,159
- 1,313
Duh!Huu usenge sasa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!Huu usenge sasa..
LoL u r warmly welcome [emoji4]Hahahahaa...!!
I wish to prove you wrong jamani ila sijui nitafanyaje..!
Ila shukrani you've made my day hakika..!
akili ya mwanaume ipo hivi..Mtu akininunulia gari asinipe kadi namwambia asante.nenda na gari lako ukiwa tiyari kunipa kadi utanipa gari
Vip mfalme wewe ushawahi kuhonga gari au nyumba?akili ya mwanaume ipo hivi..
anakupa gari kwasababu ameona kwa wakati huo unastahili kupata gari..
sasa ili kupata kadi endelea kuonesha upendo na kustahili kwako kupewa ownership ya hio gari moja kwa moja.
ukishukuru kwa kidogo ulichopewa utapata vikubwa.
sasa wewe jikute mwamba uje kun'dai kadi ya gari kwa pupa utafkiri tembo anaenda kuangusha mti.. utakosa vyote.
mapenzi yamekuja kuwa magumu sana so hata kuwaspoil tunawaspoil mdogo mdogo tena kwa akili ili tusiingie loss mkija kukengeuka huko baadae.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Fala kweli wewe unataka upendweje kupewa hela ndio kupendwa wewe mdangaji tu wanaume wawili kwa mpigo unafkili ni fashionSijatapeli! Ila nachotafuta hapa ni kupendwa niFanyaje?nitriwe kama navyostahili? Nishike mmoja
MakubwaSiyo kwamba nadanga hata mie nina hela yangu tu lakini jaman niko na mwanaume si hata anipe heshima tu? Hata ushauri? Ndo niko natafuta hivo Wakunioa lakin sioni sijui nibak peke yangu tu niachane nao? Lakin msimamo huo sina sasa kwasabu na nyege
aah mi bado bna. we vipi ushawahi kuhongwa gari au nyumba?Vip mfalme wewe ushawahi kuhonga gari au nyumba?
Asante!akili ya mwanaume ipo hivi..
anakupa gari kwasababu ameona kwa wakati huo unastahili kupata gari..
sasa ili kupata kadi endelea kuonesha upendo na kustahili kwako kupewa ownership ya hio gari moja kwa moja.
ukishukuru kwa kidogo ulichopewa utapata vikubwa.
sasa wewe jikute mwamba uje kun'dai kadi ya gari kwa pupa utafkiri tembo anaenda kuangusha mti.. utakosa vyote.
mapenzi yamekuja kuwa magumu sana so hata kuwaspoil tunawaspoil mdogo mdogo tena kwa akili ili tusiingie loss mkija kukengeuka huko baadae.
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
😂😂😂 no comment but who knows? May be one day yesaah mi bado bna. we vipi ushawahi kuhongwa gari au nyumba?
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
KUMBE NI SHOGAAAAA[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mie nimehongwa gar bila kadi lakini hata mafuta siwekewi wala sevisi[emoji1751] mimi na jjemba naipenda kwelikweli na tuna mwaka sasa na miez sita
Huwezi achana nao sababu una nyege acha kuziendekeza nyege mwanaume hakupi heshima hajui umuhimu wako labda anakutafuta akiwa na shida zake wa nini sasa huyo matatizo mengineSiyo kwamba nadanga hata mie nina hela yangu tu lakini jaman niko na mwanaume si hata anipe heshima tu? Hata ushauri? Ndo niko natafuta hivo Wakunioa lakin sioni sijui nibak peke yangu tu niachane nao? Lakin msimamo huo sina sasa kwasabu na nyege