Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo red:haitatokea muoaneNisaidien jamani, mwenzenu naogopa sana kuingia ktk mahusiano ya kindoa. Ninaye BF na tuko kwa r/ship for 6 yrs now, ila kila nkifikiria kuwa one day ntatakiwa niwe na ndoa naogopa sana. Au nina matatizo?
hapo red:haitatokea muoane
ulianza mchezo ukiwa kitoto au get married ukiwa past?duh umeanza kuoteshwa eeeeh?Got married to my hubby dated for 12 yrs
ulianza mchezo ukiwa kitoto au get married ukiwa past?
Nisaidien jamani, mwenzenu naogopa sana kuingia ktk mahusiano ya kindoa. Ninaye BF na tuko kwa r/ship for 6 yrs now, ila kila nkifikiria kuwa one day ntatakiwa niwe na ndoa naogopa sana. Au nina matatizo?
hence non of them.both A.B are correct
kwanza napenda kukupongeza kwa kuwa muwazi;;endelea kuakaa hivyo mpaka utakapopata soln..ni ukae hivyo uje kupata utakaekuwa nae na amani kuliko hii mindoa ya sikuhizi miezi miwili vikao mara sita saba vikao tena vya nini??kaa vizuri tafuta soln..kwa msaada zaidi cont denismandia@yahoo.com ila cha kukupa moyo aijalishi mapito unayopitia muda utakaotumia Yupo Mume wako kutoka kwa Mungu anakusubiri ni wewe kuwa karibu na Mungu na jinsi gan ya kumtumikia akupe mume mwema
Nisaidien jamani, mwenzenu naogopa sana kuingia ktk mahusiano ya kindoa. Ninaye BF na tuko kwa r/ship for 6 yrs now, ila kila nkifikiria kuwa one day ntatakiwa niwe na ndoa naogopa sana. Au nina matatizo?