Nahisi nina uraibu wa ngono

Nahisi nina uraibu wa ngono

munimuni

Senior Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
110
Reaction score
69
Watu wanasema mficha maradhi kifoo huumbua ..mwanzo nilijua ni mihemko tu ya ujana na umri utakavyozidi kwenda mambo yatakuwa tofauti lkn sasa umri umeenda na kasi imekuwa n 5G,hii kitu ni balaa n zaidi ya njaa na kiu.

Na si kwamba natembea na wanaume hovyo hapana ila huyo mmja niliye nae huwa namtumia haswa hamu yangu katika tendo siwez kuifananisha na kitu,mm nilidhani n kawaida lkn baada ya kuona watu ninaodate nao wanakimbia kwa sababu ya kuwa mm siridhiki eti nipo kama yule mmbwa jike aliye kwenye kipindi cha hybrid sijui..

Niliwah kupata mmja ambaye alinimudu kwa muda ila nae hatukudumu sana,yaan umekuwa n mtihani mkubwa sana kweny maisha yangu, nikijaribu kupotezea nahisi kuchanganyikiwa...nishajaribu kutafuta msaada wa kisaikolojia lkn haikusaida kitu sasa nawaza umri unayozidi kusogea itakuwaje?

halafu ukiniona uwezi kuamini kabisa jinsi nilivyo binti safi..mwenye wazo au ushauri mzuri jamn naomba aniambie na kam kuna madaktar humu karibun kwa ushauri.
 
Pole sana, yaani wewe ni "nymphomaniac" kwa kizungu... Ni ugonjwa. Jaribu kwa madaktari bingwa wa magonjwa ya akili.

Umejiheshimu sana kuwa na mmoja kwa wakati mmoja. Kwa kawaida "nymphomaniacs" huwa hawachagui mwanaume. Yeyote ambaye yuko tayari kukidhi haja zao huwa anakubaliwa.
 
Pole sana, yaani wewe ni "nymphomaniac" kwa kizungu... Ni ugonjwa. Jaribu kwa madaktari bingwa wa magonjwa ya akili.

Umejiheshimu sana kuwa na mmoja kwa wakati mmoja. Kwa kawaida "nymphomaniacs" huwa hawachagui mwanaume. Yeyote ambaye yuko tayari kukidhi haja zao huwa anakubaliwa.
Kuna mwenzetu kapelekea hii tabia kwa mtoa mada,alkua akimfanya vizur sana
 
Mzee wa maexperience nilishaga kutana na dent mmoja wa chuo wa type yako. Aisee hadi nilikuaga namkwepa siku ambazo najua nimejichokea. Siku nikiwa na ugwadu wa kufa mtu ndo nampandia aisee ni shida yule kiumbe.

Anamigenye hadi anavibrate....uzuri napigaga zoezi sana so huwa nammudu vizuri ila siku nazokua nimechoka namkwepa maana hana game ndogo. Nae nahisi wengi wanamkimbiaga maana nna miaka nae tunamegana kisela na inaweza pita mwezi hatujachekiana
 
Back
Top Bottom