Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Pole ndo ukubwa huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16] "Atafute GAIDI jenzie"Aisee huyu atafute tiba hospital hormones zitakuwa zinawaka muda wote au atafute gaidi jenzie..
Naomba unitafute nikupatie tiba pliz usiignoreWatu wanasema mficha maradhi kifoo huumbua ..mwanzo nilijua ni mihemko tu ya ujana na umri utakavyozidi kwenda mambo yatakuwa tofauti lkn sasa umri umeenda na kasi imekuwa n 5G,hii kitu ni balaa n zaidi ya njaa na kiu..
Na si kwamba natembea na wanaume hovyo hapana ila huyo mmja niliye nae huwa namtumia haswa hamu yangu katika tendo siwez kuifananisha na kitu,mm nilidhani n kawaida lkn baada ya kuona watu ninaodate nao wanakimbia kwa sababu ya kuwa mm siridhiki eti nipo kama yule mmbwa jike aliye kwenye kipindi cha hybrid sijui..
Niliwah kupata mmja ambaye alinimudu kwa muda ila nae hatukudumu sana,yaan umekuwa n mtihani mkubwa sana kweny maisha yangu, nikijaribu kupotezea nahisi kuchanganyikiwa...nishajaribu kutafuta msaada wa kisaikolojia lkn haikusaida kitu sasa nawaza umri unayozidi kusogea itakuwaje?
halafu ukiniona uwezi kuamini kabisa jinsi nilivyo binti safi..mwenye wazo au ushauri mzuri jamn naomba aniambie na kam kuna madaktar humu karibun kwa ushauri.
Tupia kanamba 😋😋Watu wanasema mficha maradhi kifoo huumbua ..mwanzo nilijua ni mihemko tu ya ujana na umri utakavyozidi kwenda mambo yatakuwa tofauti lkn sasa umri umeenda na kasi imekuwa n 5G,hii kitu ni balaa n zaidi ya njaa na kiu..
Na si kwamba natembea na wanaume hovyo hapana ila huyo mmja niliye nae huwa namtumia haswa hamu yangu katika tendo siwez kuifananisha na kitu,mm nilidhani n kawaida lkn baada ya kuona watu ninaodate nao wanakimbia kwa sababu ya kuwa mm siridhiki eti nipo kama yule mmbwa jike aliye kwenye kipindi cha hybrid sijui..
Niliwah kupata mmja ambaye alinimudu kwa muda ila nae hatukudumu sana,yaan umekuwa n mtihani mkubwa sana kweny maisha yangu, nikijaribu kupotezea nahisi kuchanganyikiwa...nishajaribu kutafuta msaada wa kisaikolojia lkn haikusaida kitu sasa nawaza umri unayozidi kusogea itakuwaje?
halafu ukiniona uwezi kuamini kabisa jinsi nilivyo binti safi..mwenye wazo au ushauri mzuri jamn naomba aniambie na kam kuna madaktar humu karibun kwa ushauri.
[emoji28]Mtoa mada,
Dawa ya Moto Ni Moto.
Tafuta wa kufanana nawe
ni miti tu hamna namna, ukiwashwa unakunwaEvelyn Salt mwenzako uyu, njoo mshauriane Basi[emoji4]
Jo, hili ni tangazo pia...
Reference, nyuzi zilizopita za mleta tangazo
Asante nitalifanyia kaziPole sana, yaani wewe ni "nymphomaniac" kwa kizungu... Ni ugonjwa. Jaribu kwa madaktari bingwa wa magonjwa ya akili.
Umejiheshimu sana kuwa na mmoja kwa wakati mmoja. Kwa kawaida "nymphomaniacs" huwa hawachagui mwanaume. Yeyote ambaye yuko tayari kukidhi haja zao huwa anakubaliwa.
Ni kweli mapenzi ni changamoto kwanguNimeangalia nyuzi zake za nyuma nyingi analalamika kuhusu mapenzi kumtesa 😪
Pole nitakutafuta nijue umefikia wapiMimi Nina tatizo Hilo Hilo sema Mimi Ni wa kiume
Mzee wa maexperience nilishaga kutana na dent mmoja wa chuo wa type yako. Aisee hadi nilikuaga namkwepa siku ambazo najua nimejichokea. Siku nikiwa na ugwadu wa kufa mtu ndo nampandia aisee ni shida yule kiumbe. Anamigenye hadi anavibrate....uzuri napigaga zoezi sana so huwa nammudu vizuri ila siku nazokua nimechoka namkwepa maana hana game ndogo. Nae nahisi wengi wanamkimbiaga maana nna miaka nae tunamegana kisela na inaweza pita mwezi hatujachekiana
Watu wanasema mficha maradhi kifoo huumbua ..mwanzo nilijua ni mihemko tu ya ujana na umri utakavyozidi kwenda mambo yatakuwa tofauti lkn sasa umri umeenda na kasi imekuwa n 5G,hii kitu ni balaa n zaidi ya njaa na kiu..
Na si kwamba natembea na wanaume hovyo hapana ila huyo mmja niliye nae huwa namtumia haswa hamu yangu katika tendo siwez kuifananisha na kitu,mm nilidhani n kawaida lkn baada ya kuona watu ninaodate nao wanakimbia kwa sababu ya kuwa mm siridhiki eti nipo kama yule mmbwa jike aliye kwenye kipindi cha hybrid sijui..
Niliwah kupata mmja ambaye alinimudu kwa muda ila nae hatukudumu sana,yaan umekuwa n mtihani mkubwa sana kweny maisha yangu, nikijaribu kupotezea nahisi kuchanganyikiwa...nishajaribu kutafuta msaada wa kisaikolojia lkn haikusaida kitu sasa nawaza umri unayozidi kusogea itakuwaje?
halafu ukiniona uwezi kuamini kabisa jinsi nilivyo binti safi..mwenye wazo au ushauri mzuri jamn naomba aniambie na kam kuna madaktar humu karibun kwa ushauri.
Asante sana nitajitahidi smzaidiPole sana ndugu yangu.hilo ni tatizo.Hebu nenda waone matatibu wa masuala ya homonie.Kuna kitu kimzidi mwilini mwako.Wakishindwa kupata jawabu nenda waone watumishi wa Mungu waaminifu.Narudia watumishi wa Mungu waaminifu.Kwa sababu suala lako ni nyeti. Mungu atakuponya.
Pole sanaNi kweli mapenzi ni changamoto kwangu