Nikosa la kibinadamu, huwenda muhudumu alikosea kutag namba yako , inawezekana mteja aliyemuhudumia namba zako na zake zinafanana na kutofautiana tu kwenye code number, haya mambo yanatokea mkuu usiyawaze, mtu anaye ku track awezi acha alama Ili ugundue kua unafatiliwa.