Wewe utakua unashusha 750ml pekeako ya K_vant Tatizo Lina anzia hapo😊☺️Hamu ya chakula nakosa kabisa mkuu
Wait lazima atakuja kwenye hii thread kutoa maarifa na uzoefu wake ambao utakusaidia trust me..Mkuu kuna siku nikiwa meanza kumuandikia PM Mshana Jr anipe ushauri ila nikajipatabnaifuta tu
Shida ni hiyo nyagi.. unapokunywa uwa unakuwa umeshiba?Tangu week hii imeanza nalewa ila nikiamkaa asubuhi nakuwa kama mwili wote unauma walevi wenzangu nisaidieni
Ukishakua mraibu ni ngumu kuacha kuna watu mpaka jasho linanuka pombe achilia mbali mkojo, kinyesi N.kShida ni hiyo nyagi.. unapokunywa uwa unakuwa umeshiba?
Temaya nayo.. kulewa sio lazima
Home Kwa wazazi ni Sumbawanga nilienda hadi Kwa mganga huko Namanyere ila niache pombe nikachanjwakabisa ila naona kama nazidishaUkishakua mraibu ni ngumu kuacha kuna watu mpaka jasho linanuka pombe achilia mbali mkojo, kinyesi N.k