Nahisi wanaokunywa pombe wana furaha zaidi kuliko wanywa soda, juisi na ukwaju

Basi eti huwa nahis unatumia pombe...duh.....!
 
Kuna kitu unashindwa kutofautisha kati ya mlevi na mnywaji.
Lakn itakuwa vzr kila mtu aamini anachoamini.
 
Mkuu umetusahau na sisi wavuta bange
 
Mkuu utafiti wenu ni mgumu kupata washiriki maana wengi mnapiga cha arusha kwa siri sana sana.

Hlf mkimlaiza unaona mtu anatulia kama dk 20 hivi au 15, anaskilizia stimu yake.

Itabidi na nyie utafiti ujao mzingatiwe mkuu.
Mkuu umetusahau na sisi wavuta bange
 
Sasa mkuu mida mibaya unatafuta nini bar na pombe hunywi? Hapo tayar kuna kilevi chako na ww [emoji23][emoji23]
 
Ha ha ha mpaka nimecheka,,naona hiyo akiri yake haiendani na kinywaji
 
Kifupi mtu mwenye hela ndo anaweza kuwa na furaha mkuu

Hapana mkuu Wangari, sio wote wenye hela wanafuraha.. ..wengi wao wanaishi kwa hofu anytime wanahofia watachomoka na kuiacha mali.. ..wengine hupatwa na maradhi makubwa na ndio yanawafanya wakose furaha.. ..wengine madeni yamewajaa mpaka inafikia mahali wanajiuwa.. ..wengine wamepata utajiri kwa njia isiyo ya halali,.. ..Ni heri upate utajiri wa kawaida tena kwa njia ya halali, hapo utaishi maisha ya amani na furaha.. ..
 
Hata suala la mimyoo tumboni nasikia unaepukana nalo kabisa.[emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahaa mkuu bia zinanenepesha... tunakuntwa spirits tuendee kudamshi..tusiwe na mavitambi yaleee[emoji12][emoji12]!...tunaambiwa spirits zinakata wese mwilini...haha sema pombe isikuendeshe .ikikuendesha you are finished[emoji25]
 
lakini kila mtu ana kilevi chake mkuu unaweza usinywe but ukawa na kitu kingine kimekuathiri kabisa.
 
pesa za masharti zinatesa sana na unakosa furaha nazo kabisa.
 
Walevi huwa wanajidanganya eti ili upoteze mawazo unywe pombe.. ..ujinga mtupu..hakuna kitu kama hicho.. ..ukilewa ndio mawazo yanazidi na kupelekea kufanya upumbavu hata kummbaka mzazi/dada yako
 
Sio wewe tu wengi huwa hawaamini sinywi sasa hawaelewi nawezaje kuzurula na walevi usiku ila siku hizi nimepunguza misele.
Kunywa ni maamuzi siyo mkumbo, so uko sahihi kuwa na mtu kama unajielewa si lazima ufanye anachofanya kama hakijakuvutia.
 
Walevi huwa wanajidanganya eti ili upoteze mawazo unywe pombe.. ..ujinga mtupu..hakuna kitu kama hicho.. ..ukilewa ndio mawazo yanazidi na kupelekea kufanya upumbavu hata kummbaka mzazi/dada yako
ukinywa kwa kuondoa mawazo unafail, wanaoenjoy ni wale wanaokunywa kama sehemu ya maisha kama yule anayekunywa juice.

Pia ambao wanaweza kujicontol na sikuendeshwa na pombe.
 
Kunywa ni maamuzi siyo mkumbo, so uko sahihi kuwa na mtu kama unajielewa si lazima ufanye anachofanya kama hakijakuvutia.
Wapo wengi tu wanaokunywa kwa mkumbo, in fact wengi wameanza kwa mkumbo. Ushasikia kitu kinaitwa 'peer pressure' ?
 
Wapo wengi tu wanaokunywa kwa mkumbo, in fact wengi wameanza kwa mkumbo. Ushasikia kitu kinaitwa 'peer pressure' ?
Mm sikuanza kwa mkumbo....unajikuta lonely unatafuta furaha kupitia mambo kama hayo..it works thou! Mm naweza kaa 5hrs alone niko na kinywaj changu najiskia ahueni sana!
 
Yaan ulichelewa kujua mkuu[emoji848]

Binafsi kama huli kitimoto na hunywi bia hata salamu usinipe coz sitaitikia! (Masnitch at highest level)

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…