Nahisi wanaokunywa pombe wana furaha zaidi kuliko wanywa soda, juisi na ukwaju

Nahisi wanaokunywa pombe wana furaha zaidi kuliko wanywa soda, juisi na ukwaju

Walevi ni wanafuraha sana alafu wanaupendo sana
Sana kama juzi nimekutana na warembo kadhaa nikawapiga round kumgusa mmoja tucheze mziki kidogo nikamshika kiuno akanisusia kumbe akinywa pombe zinamlowesha chup tukaenda piga stori kwenye gari kavaa zile gauni zao zinazoishia mapajani kukaa kwenye siti kanisusia utamu wote mnyamwezi nikalaza siti nikamsadia kukausha utete na pipe ni upendo wa kipekee kwetu

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mtoa Mada nakuunga sanaa, ni kweli tunashirikiana sanaa..

Nimetoka home nikaja jirani na home nipige supu na chapati, nirudi home nikasema ninywe safari mbili nipate vibe kidogo, akatokea mwana mmoja anazikubali safari sanaa, nikimaliza hizo ni bia ya kumi...naona weekend imeanza mapema, nilitaka ianze jioni...ila sio case, ...hili ni chama la upendo, hatubaguani... love this life and alcohol..


God bless all.
JPEG_20210529_133646_4826781567896414888.jpg
 
Lakini kuna dini zinasema kunywa kidogo usilewe, hivyo tuendelee kutafakari kwa kina.
Kama wewe ni mfuasi wa hizo dini zingine ni sawa....ila waraibu walianza kama wanaonja huku wamekunja sura[emoji37]...lkn kwa sasa hivi ndo hao unaowaona wanacheka na kufurahi[emoji482][emoji4][emoji16][emoji482] while wanakunywa.
 
jiulize mbona jambo moja linabebwa kwa namna tofauti linapowapata watu wawili tofauti?
mfano unaweza ukatukanwa ukarudishia mwingine akatukanwa akasmile na kuondoka?

its just a matter of how you program your mind,siyo swala la siku moja
Two people with different mind........kila mtu anapersonality yake boss.....wewe mwenyewe hapo ulipo huwezi kuwa katika nyakati ngumu za majonzi alafu ukajiamulia kuwa happy
 
Two people with different mind........kila mtu anapersonality yake boss.....wewe mwenyewe hapo ulipo huwezi kuwa katika nyakati ngumu za majonzi alafu ukajiamulia kuwa happy
furaha ni maamuzi
wewe kama hauwezi kuamua kuwa na furaha pole sana
binafsi yangu naweza nikawa na mambo kibao na nachagua kufurahishwa tu na taa za barabarani au sauti ya maji baharini
ninachagua kuwa mwenye furaha.
 
Uko sahihi,, nafikiri wanaokunywa ndiyo walipaswa kuwa na majibu sahihi kuwa ni furaha au laa.

Lakini wanaokunywa comment zao zinaonesha kusema ukweli kuwa suala la kunywa ni lenye kuongeza furaha, marafiki na mengineyo positive.

Lakini hali imekuwa tofauti watu wasiokunywa ndiyo wanaotoa comment negagive wakati hawajuw raha au shida ya pombe.

Hata mimi ndiyo maana nilisema ninahisi kundi hili wanaenjoy maisha kuliko sisi tunaokunywa ukwaju na soda.

Sikufikia hitisho kwa 100% kwa sijaunga hoja.

Hakuna kitu kisichokuwa na madhara kama umekifanya kwa kupitiliza, Pombe siyo shida ila shida itakuwa,mnywaji anaposhindwa kujicontrol kwa suala la pombe.

Hata chakula ukila bila mpangilio utapata magonjwa na kuwa chibonge kupitiliza.
Achana nao hao wa kuzisemea nafsi
 
Bia haileti furaha yoyote, furaha unaitengeneza mwenyewe kwa kuwa na afya nzuri, riziki ya kutosha na mahusiano mazuri na watu.
 
Ukitaka raha ya pombe na ui-control, if your family is peaceful (something which is very rare nowdays), nenda na familia sehemu tulivu (the best thing, muwe kama familia mbili), utainjoi sana hata kama unakunywa K-Vant.
Stress zote zinaisha, na penzi lako kwa mkeo linaongezeka sana. Try it, you'll enjoy.
 
Back
Top Bottom