Nahisi wanaokunywa pombe wana furaha zaidi kuliko wanywa soda, juisi na ukwaju

Walevi ni wanafuraha sana alafu wanaupendo sana
Sana kama juzi nimekutana na warembo kadhaa nikawapiga round kumgusa mmoja tucheze mziki kidogo nikamshika kiuno akanisusia kumbe akinywa pombe zinamlowesha chup tukaenda piga stori kwenye gari kavaa zile gauni zao zinazoishia mapajani kukaa kwenye siti kanisusia utamu wote mnyamwezi nikalaza siti nikamsadia kukausha utete na pipe ni upendo wa kipekee kwetu

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Mtoa Mada nakuunga sanaa, ni kweli tunashirikiana sanaa..

Nimetoka home nikaja jirani na home nipige supu na chapati, nirudi home nikasema ninywe safari mbili nipate vibe kidogo, akatokea mwana mmoja anazikubali safari sanaa, nikimaliza hizo ni bia ya kumi...naona weekend imeanza mapema, nilitaka ianze jioni...ila sio case, ...hili ni chama la upendo, hatubaguani... love this life and alcohol..


God bless all.
 
Lakini kuna dini zinasema kunywa kidogo usilewe, hivyo tuendelee kutafakari kwa kina.
Kama wewe ni mfuasi wa hizo dini zingine ni sawa....ila waraibu walianza kama wanaonja huku wamekunja sura[emoji37]...lkn kwa sasa hivi ndo hao unaowaona wanacheka na kufurahi[emoji482][emoji4][emoji16][emoji482] while wanakunywa.
 
jiulize mbona jambo moja linabebwa kwa namna tofauti linapowapata watu wawili tofauti?
mfano unaweza ukatukanwa ukarudishia mwingine akatukanwa akasmile na kuondoka?

its just a matter of how you program your mind,siyo swala la siku moja
Two people with different mind........kila mtu anapersonality yake boss.....wewe mwenyewe hapo ulipo huwezi kuwa katika nyakati ngumu za majonzi alafu ukajiamulia kuwa happy
 
Two people with different mind........kila mtu anapersonality yake boss.....wewe mwenyewe hapo ulipo huwezi kuwa katika nyakati ngumu za majonzi alafu ukajiamulia kuwa happy
furaha ni maamuzi
wewe kama hauwezi kuamua kuwa na furaha pole sana
binafsi yangu naweza nikawa na mambo kibao na nachagua kufurahishwa tu na taa za barabarani au sauti ya maji baharini
ninachagua kuwa mwenye furaha.
 
Achana nao hao wa kuzisemea nafsi
 
Bia haileti furaha yoyote, furaha unaitengeneza mwenyewe kwa kuwa na afya nzuri, riziki ya kutosha na mahusiano mazuri na watu.
 
Ukitaka raha ya pombe na ui-control, if your family is peaceful (something which is very rare nowdays), nenda na familia sehemu tulivu (the best thing, muwe kama familia mbili), utainjoi sana hata kama unakunywa K-Vant.
Stress zote zinaisha, na penzi lako kwa mkeo linaongezeka sana. Try it, you'll enjoy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…