Nahisi yule hakua mtu wa kawaida bali malaika

Hongera uliweza kumsikiliza na hukuonyesha dharau
 
Unajua na unajua tena, very nice article.
 
Mi sinaga kawaida ya kumdharau mtu hawa machizi uwaga na point sana na napendaga kupiga nao story japo watu hunishangaaga sana, 300×600 ,amekufundisha usidharau kidogo haba na haba ujaza kibaba, bangi kete 300 tu uza zako kete 600 kwa mwezi ushatoboa
 
Binafsi naamini kila mtu awe tajiri,masikini,msomi,hajui kusoma,mwizi,mlokole,muuaji ,mlawiti au jambazi ukikaa nae unaweza ukajifunza kitu kizuri kupitia huyo.
 
Mkuu nimerudia kusoma huu ushuhuda wako.
Very interesting.
Naomba link kama hutojali🙏🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…