Nahisi yule hakua mtu wa kawaida bali malaika

Nahisi yule hakua mtu wa kawaida bali malaika

Hawa wako USA huko nafikiri. Kuishi huko kunakupa mambo mengi duniani. Huko kuna utajiri mkubwa wa fikra. Huko unaweza kuwa masikini lakini ukawa na furaha ,ksbb unayoyajua kuhusu dunia yanakupa amani ya moyo. Pia ni sahihi kila mtu ana kile akipendacho.

Pia Katika wanawake 10 wa jf wakiulizwa anaewavutia humu,wanawake 9 watajaa kwa Nyani ngabu. Wanawake 7 watajaa kwa mshana jr. Wanawake 2 wataingizwa kwa kiranga. Na sababu kubwa ni mpinga uwepo wa MUNGU.
Pia kuna watu wengine humu wana uwasirishaji mzuri sana. Kama yule wa how I met my wife. Hata hiyo ya insider man anajua. Lakini muhimu kipendacho roho
Hao watu wanajua aisee.!! Hao wengine sijawafatilia maybe ni zile love story zao hazinishawishi naona km kuna chai flani hivi.!
 
Asante ndugu mleta uzi kuna mengi tumejifunza kutokana na ushuhuda wako mzuri, lakini hapo kwenye 300x600 ni sawa na 540k sijapaelewa vizuri japo ni kweli hesabu zinaweza kunisumbua lakini najua 300x60=18000, ufafanuzi tafadhali
Kwa siku ni 18000 na kwa mwezi itakuwa 18000x30=540000
 
Duuuh , wan Dar, akiwa mwanamke ni tapeli, akiwa Mwanaume ni Tapeli.

Kwanza kaanza na habari za kichaa kusema "nyiee ni matajirii ".


Pili ,umekuja na habari za Chizi kusema 300 Mara 60 .

Kuendelea kuaminisha watu .


Ila Chizi mwenyewe kashindwa Kukifanya hiyo biashara ,badala yake anaokota makoto.




Duuhh Dunia imefikia hatua ambayo Mtu anakuona mtu mwenzake kua ni Fursa.
 
Urahisi wa kupata 300 kwa siku Kwa vyanzo 60..ni swala gumu Kwa tz labda
Nimekagua comments hakuna alie jisumbua kuwaza Bali umbea tu mnachangia nimecheka sana..

Mungu akubariki mtoa Uzi umenisanua pakubwa sana.🙏🏽
 
Nataka kukuambia dharau haijawahi kuwa na faida.Kuna saa nahisi yule mtu alitumwa kuleta hizi mia tatu mia tatu kwa huyu ndugu yangu ila dharau zake zikamkosesha neema.
Nimekosa cha kukuambia ngoja tu nipite wima Ila Mimi ndie niliekufundisha kuzipata hizo 300 Mia 3 sasa nakwambia kabla hujafa Andika hapa JF kwa Faida ya Wote wanaosoma hili andiko lako
 
Duuuh , wan Dar, akiwa mwanamke ni tapeli, akiwa Mwanaume ni Tapeli.

Kwanza kaanza na habari za kichaa kusema "nyiee ni matajirii ".


Pili ,umekuja na habari za Chizi kusema 300 Mara 60 .

Kuendelea kuaminisha watu .


Ila Chizi mwenyewe kashindwa Kukifanya hiyo biashara ,badala yake anaokota makoto.




Duuhh Dunia imefikia hatua ambayo Mtu anakuona mtu mwenzake kua ni Fursa.
Poor you

Endelea hivyo hivyo kuwa negative
 
Urahisi wa kupata 300 kwa siku Kwa vyanzo 60..ni swala gumu Kwa tz labda
Nimekagua comments hakuna alie jisumbua kuwaza Bali umbea tu mnachangia nimecheka sana..

Mungu akubariki mtoa Uzi umenisanua pakubwa sana.🙏🏽
Kwenye bandiko lote umeona mambo ya hela tu.Hamna.kingine kizuri umeona..
?
Vyanzo 60 sio rahisi ndio ila guess what! Iam dreaming of thousands of vyanzos.You are talking to the next something like azam icecream.Yeye cha 500 changu.cha 300.
Sio mwenzio mimi
 
Nimekosa cha kukuambia ngoja tu nipite wima Ila Mimi ndie niliekufundisha kuzipata hizo 300 Mia 3 sasa nakwambia kabla hujafa Andika hapa JF kwa Faida ya Wote wanaosoma hili andiko lako
Sawa Mr
Nimekosa cha kukuambia ngoja tu nipite wima Ila Mimi ndie niliekufundisha kuzipata hizo 300 Mia 3 sasa nakwambia kabla hujafa Andika hapa JF kwa Faida ya Wote wanaosoma hili andiko lako

Sawa Mr. Genious.
Siku hizi unaoga😀
 
Back
Top Bottom