Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hakuna wa kutoa samari asee
Kuna hela za majini hapa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wa kutoa samari asee
Kusoma na kuchambua kilichosomwa ni vitu viwili tofautiAsante ndugu mleta uzi kuna mengi tumejifunza kutokana na ushuhuda wako mzuri, lakini hapo kwenye 300x600 ni sawa na 540k sijapaelewa vizuri japo ni kweli hesabu zinaweza kunisumbua lakini najua 300x60=18000, ufafanuzi tafadhali
Roho nzuri ni funguo za riziki......
Ninaa
🙏🙏Aminaaaaa....!
ugali wa kisukumaPiza na baga n nn? 😔
Eh bc kumbe kila siku hua nakula piza na baga 😎ugali wa kisukuma
✌️✌️Nilidhani niko pekeangu dunia nzima ninaefanya huu mchongo, kumbe sasa tuko wawili..😄😄
Au pengine nisiowajua ni wengi zaidi ya sisi wawili.😄😄
Au labda hizi ni soga tuu..
🤣🤣🤣🙌🏾🏃🏾♀️Eh bc kumbe kila siku hua nakula piza na baga 😎
Sawa🙏Siri moja ya hii biashara haitajiki watu wengi waijue...kuwa muangalifu tusije tukafirisika
Eti hapo ndo nimefupisha😜😀Nimeishia njiani, mkiwa mnaleta visa virefu mjitahidi kusamaraizi.!!
una akili mgando sana mzee.Kuna watu hapa watatoa tahadhari dhidi ya matapeli.
Angeendelea kuja ningempa.Angeomba mzigo ungempa,mlikutana machizi
😀😀😁😂una akili mgando sana mzee.
teh teh tehInamaana Kuna malaika wambea mno, ukigeuza mgongo wanakusema.
RelaxOkay, thou hiyo roho yake nzuri imejenga maghorofa mangapi?
Worry outUmeharibu kusema huku