Nahisi yule hakua mtu wa kawaida bali malaika

Nahisi yule hakua mtu wa kawaida bali malaika

Had hapa nilipofika nna miaka 28, sina kaz, sina nyumba, sina gari ila mda huu naandakia kwa ujasiri wa hali juu kabla mwaka huu haujaisha Mungu atakua amenishangaza na viwili kati ya hvo nilivoviandika ntakua namiliki!!! Time will tell ntarud kwa ushuhuda mkubwa!!! Mungu hawezi kunizali
 
Mimi ni Mungu, na nakuagiza kama usipokuwa malaika na kutoa hiyo fursa kwa wenzako wa Jf kama ambavyo nilimtuma malaika wangu akupe hiyo fursa...nakuhakikishia utafirisika mwaka huu
Tatizo wabongo wakijua kitu kila mtu atataka afanye mwishowe wote mnadoda
 
Nimeishia njiani, mkiwa mnaleta visa virefu mjitahidi kusamaraizi.!!
Wewe huna tofauti na yule mdada aliekuwa anamfukuza yule muokota makopo.
Kastory kafupi kabisa hako kanakutia uvuvi. Lakini ajabu kutwa nakuona ukiusubiria ule uzi mrefu wa kukutana na dada huyu mrembo, kwenye biashara ya ubber.
Kuna sumary nyingine ndogo zaidi ya ufupisho aliofanya hapo?. Sumary zaidi ya hapo isingeeleweka
 
Wewe huna tofauti na yule mdada aliekuwa anamfukuza yule muokota makopo.
Kastory kafupi kabisa hako kanakutia uvuvi. Lakini ajabu kutwa nakuona ukiusubiria ule uzi mrefu wa kukutana na dada huyu mrembo, kwenye biashara ya ubber.
Kuna sumary nyingine ndogo zaidi ya ufupisho aliofanya hapo?. Sumary zaidi ya hapo isingeeleweka
Halafu ile story sijawahi kuifatilia huwezi amini.!!
Ile story nilikuwa natagiwa sana na rafiki zangu so nikaona sio mbaya kuwasupport kwa kujifanya nafatilia…. Ila kiuhalisia nilikuwa natambaa na beat lao vile wanavyocomment 😹😹😹
 
Halafu ile story sijawahi kuifatilia huwezi amini.!!
Ile story nilikuwa natagiwa sana na rafiki zangu so nikaona sio mbaya kuwasupport kwa kujifanya nafatilia…. Ila kiuhalisia nilikuwa natambaa na beat lao vile wanavyocomment 😹😹😹
Haaah...! Acha uvivu bwana...! Sasa humo kwenye simu kila wakati uko nayo unaperuz huwa unasomaga nini sasa?. Au ndio wewe comments ziwe fupi fupi?
 
Wewe huna tofauti na yule mdada aliekuwa anamfukuza yule muokota makopo.
Kastory kafupi kabisa hako kanakutia uvuvi. Lakini ajabu kutwa nakuona ukiusubiria ule uzi mrefu wa kukutana na dada huyu mrembo, kwenye biashara ya ubber.
Kuna sumary nyingine ndogo zaidi ya ufupisho aliofanya hapo?. Sumary zaidi ya hapo isingeeleweka
😍😍😍🙏🙏
 
Haaah...! Acha uvivu bwana...! Sasa humo kwenye simu kila wakati uko nayo unaperuz huwa unasomaga nini sasa?. Au ndio wewe comments ziwe fupi fupi?
Kuna member huwa ananivutia sana mitazamo yake huyu sijawahi kuchoka kumsoma sijui ni aina ya uandishi wake na anavyopiga zile punchline zake 😹😹😹

Wako watatu hawa watu hata niwakute wameandika gazeti nitajitahidi niwasome mpk nukta, napenda sana uwasilisishaji wao
Kiranga Infropreneur Nyani Ngabu hawa mabro mimi ni die fan wao na wana ngeli tamu sana sijui sababu kukaa sana abroad kumechangia.!!
 
Kuna member huwa ananivutia sana mitazamo yake huyu sijawahi kuchoka kumsoma sijui ni aina ya uandishi wake na anavyopiga zile punchline zake 😹😹😹

Wako watatu hawa watu hata niwakute wameandika gazeti nitajitahidi niwasome mpk nukta, napenda sana uwasilisishaji wao
Kiranga Infropreneur Nyani Ngabu hawa mabro mimi ni die fan wao na wana ngeli tamu sana sijui sababu kukaa sana abroad kumechangia.!!
Hawa wako USA huko nafikiri. Kuishi huko kunakupa mambo mengi duniani. Huko kuna utajiri mkubwa wa fikra. Huko unaweza kuwa masikini lakini ukawa na furaha ,ksbb unayoyajua kuhusu dunia yanakupa amani ya moyo. Pia ni sahihi kila mtu ana kile akipendacho.

Pia Katika wanawake 10 wa jf wakiulizwa anaewavutia humu,wanawake 9 watajaa kwa Nyani ngabu. Wanawake 7 watajaa kwa mshana jr. Wanawake 2 wataingizwa kwa kiranga. Na sababu kubwa ni mpinga uwepo wa MUNGU.
Pia kuna watu wengine humu wana uwasirishaji mzuri sana. Kama yule wa how I met my wife. Hata hiyo ya insider man anajua. Lakini muhimu kipendacho roho
 
Back
Top Bottom