Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
18000X30?300 x 60 ni 18000
Kipenz,,ile video niliangalia mda mrefu sana so nimejaribu kuitafuta nimeikosa,,lakini nakuwekea moja yenye maudhui kama hayoMkuu nimerudia kusoma huu ushuhuda wako.
Very interesting.
Naomba link kama hutojali🙏🙏
(ila najipanga nitasimama tena.)NB:Nafunga PM sisemi zaidi ya nilichosema hapa.
🤣🤣🤣😆😆😆
Hata mimi nahisi hivyo coz navutiwa na wanaume smart.
Mwanaume zero brain hata awe na hela havutii.
Vipi tuje pm coz mwenzio mchoyo na siri yake kafunga PM yake(ila najipanga nitasimama tena.)
Hili neno nililitumia katika mapito yangu.
Ashukuriwe Mungu nami nilipata siri ambayo inanipa jeuri mjini...
Ni kweli sista siku nikija nitakuonyesha nimefanikiwa kununua smartphone nimebadilisha maisha yangu kwasasaUtasema kweli vile😆😆😆
Ukija pm utageuka kuwa fursa🤣Vipi tuje pm coz mwenzio mchoyo na siri yake kafunga PM yake
Hata mwanamke smart anavutia sana kuliko mwenye tacco😆😆😆
Hata mimi nahisi hivyo coz navutiwa na wanaume smart.
Mwanaume zero brain hata awe na hela havutii.
HongeraAsante mkuu,
Sina kawaida ya kudharau mtu
Inawezekana ila pia inawezekana tukageuzana au nikakugeuza wewe😜Ukoja pm utageuka kuwa fursa🤣
Kipenz,,ile video niliangalia mda mrefu sana so nimejaribu kuitafuta nimeikosa,,lakini nakuwekea moja yenye maudhui kama hayo
View: https://youtu.be/bEYuNKVW0Ns?si=nB3y29xcAiABZwUb
Ooh hongera.(ila najipanga nitasimama tena.)
Hili neno nililitumia katika mapito yangu.
Ashukuriwe Mungu nami nilipata siri ambayo inanipa jeuri mjini...
Kama hutojali tuelezee kidogo kisa chako naamini yapo yakujifunza🙏(ila najipanga nitasimama tena.)
Hili neno nililitumia katika mapito yangu.
Ashukuriwe Mungu nami nilipata siri ambayo inanipa jeuri mjini...
Pole ya nini mkuu?
Yes,upendo wa kweli unaangalia kilicho ndani ya mtu🤣🤣🤣
Hiyo ndo true love dear
Sio wewe bana😄Ni kweli sista siku nikija nitakuonyesha nimefanikiwa kununua smartphone nimebadilisha maisha yangu kwasasa
Get a room you people 😜Ukoja pm utageuka kuwa fursa🤣
Nianze sasa kumsoma newton nipate mvutoHata mwanamke smart anavutia sana kuliko mwenye tacco