Nahitaj mume!

Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.
anatafuta mchumba huyu na mhiyo ndio picha yaake 0712345678
 
Mimi huyu huyu....?!!
...achananae huyo... vipi bebiii wikiendi hii uko bize sana,nahitaji company yako, nakwenda serengeti mapumziko,nikufanyie booking ya flight ya ijumaa ?..
 
...achananae huyo... vipi bebiii wikiendi hii uko bize sana,nahitaji company yako, nakwenda serengeti mapumziko,nikufanyie booking ya flight ya ijumaa ?..
Ohw sorry
Will be with my hubby Erickb52 and ameshanifanyia booking ya KLM; tutakuwa abroad.
 
Last edited by a moderator:
Ohw sorry
Will be with my hubby Erickb52 and ameshanifanyia booking ya KLM; tutakuwa abroad.

...ooops sory, i will be there when you are ready, tatizo abroad nimekuchoka sana, i need to see the origin ya wanyama walioko kwenye zoo za abroad. say hi to Erickb52 na kama atahitaji msaada mtakapo fika "abroad", msisite kunijulisha mapema...
 
Last edited by a moderator:
utampata tu,niliolewa nikiwa na 26,my BF since nikiwa na 22yrs.Muombe MUNGU akupe mme mwema,mimi alinipa.Kwa MUNGU yote yawezekana
 
...ooops sory, i will be there when you are ready, tatizo abroad nimekuchoka sana, i need to see the origin ya wanyama walioko kwenye zoo za abroad. say hi to Erickb52 na kama atahitaji msaada mtakapo fika "abroad", msisite kunijulisha mapema...
Sisi kule ni wenyeji saana hatuhitaji msaada and tumejiandaa vyema
 
Maelezo bado hayajitoshelezi, ongeza ongeza kidogo...
 
Sisi kule ni wenyeji saana hatuhitaji msaada and tumejiandaa vyema
...ooh ! good,if that is the case, its ok i will meet you there. i will be flying my private jet to London on june 28. I will be there for just one week and then back to kisima cha heraaaaa....
 
...ooh ! good,if that is the case, its ok i will meet you there. i will be flying my private jet to London on june 28. I will be there for just one week and then back to kisima cha heraaaaa....
Oooops
Kumbe Europe sie tutavuka kiduchu bahari tutakua miami beach..!!
 
Ohw sorry
Will be with my hubby Erickb52 and ameshanifanyia booking ya KLM; tutakuwa abroad.

OUCH!!!! Chocs!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:redfaces:
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

Huku sijui!!!!!!!!!!!! Ila endelea kusubiri kwani hata waswahili walitanabaisha..."Kwenye kundi la mamba kenge nao wapo"
 
Oooops
Kumbe Europe sie tutavuka kiduchu bahari tutakua miami beach..!!
...waoooh ! miami beach !! unanikumbusha mbali sana,enzi hizoo wakati ndo naanza kwenda kwa obama. Nawashauri mfikie Delano Hotel,1685 Collins Ave, Miami Beach, Florida33139 ni 5 star hotel, pametulia na hamna fujofujo ingawa ni kubwa sana na watu ni wengi. I will be making money in europe mamii,hata kama ni kilosa,when it comes to money making machines, i dont miss ...
 
Da hapo umri unakaba coz hata m pia mtumsh ila npo under 23
 
Hahahahahahhahaha
Tunapaelewa sanaa
 
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

Unamaanisha nini kusema hiyo wilaya haina exposure kabisa? Unataka kusema hiyo wilaya wanaishi wanwake tu, wanaume wazee na watoto wadogo pekee?
 
Ni PM please kama bado watafuta Mme!
Mm nipo pia Wilaya moja isiyo na exposure kama wewe!Tunaweza tukatengenza JF couple;ni PM please tuanze mchakato!
 
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

Specify kila kitu mdada!
Mimi natafuta mke wa pili, nna mke na watoto wawili,...,
upo tayari twende kwa shehe Mwinyi tukakamilishe mambo???
Ila utapata raha zote unazozihitaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…