Nahitaj mume!

Nahitaj mume!

Bi mona

Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
18
Reaction score
12
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.
 
Subiri tu watakuja na utapata PM nyingi tu.
Ila hebu mwaga data zaidi ili uwarahisishie mawindo Simba wala watu.
 
Are u sure whch u'r talkn? Bas n pm namba yako nikutafte coz mwenyew natafta
 
Yaani ishu wala sio wilaya, hata sie humu Dsm exposed spouse hakuna kabisaaaa!!!!!!!!!!! Nakuombea upate umpendae maana fazaiko la moyo si mchezo!

Huyu ni Lara1 au mwingine!!
 
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

so hakuna vigezo wala masharti co?
 
unahitaj mwanamme wa sifa zipi? coz hata 4m2 wapo wanaume, au hata awe kichaa ilimradi umepata mme? funguka upate mme bora bt ka ndo hivo utapata magumegume.
 
mm ningeckiliza ombi lako bt age yako imenilimit, ucjali utawapata xana coz we inservice.
 
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

una masharti yoyote?
 
Bahati zinanipita hivi hivi, nipo kwenye mapumziko ya kuwa na mwanamke baada ya kuchimbwa mkwara.
 
Back
Top Bottom