Nahitaj mume!

Nahitaj mume!

Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

Plz Use this right now 0768252589
 
Huyo atakuwa mwl anatafuta jamaa aliye mjini amuoe ili apate chance ya kuhama huko alipo,kila la heri dada utampata tu.
 
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

kama bado nipm basi. mengi tukayaongee sirini kule coz nahis ntakupenda wewe
 
NI BAHATI MBAYA SANA HUMU JAMII FORUM HAKUNA CAUTION KWA WATUMIAJI.
kuna social network moja amerika inaitwa mocospace
UKIFUNGUA TU UNAKUTANA NA MANENO HAYA
1.don't give your personal details to a person you don't know
2.don't give your contacts to a person you don't know
3.don't accept to meet a person whom you found in this social network.

HAKUNA MTU ANAEJIHESHIMU AKIWA NA SIFA ZOTE ZA KUSTAHILI KUWA MKE WA MTU AKAKOSA WATU WA KUMUOA KIASI CHA YEYE KUJA KUJITANGAZA HUMU.

watchout
biashara ya ngono saizi imekuwa kama kuuza unga na kuuza ndovu.NI UHALIFU MKUBWA.
kova kawatibulia maeneo yao ya biashara,maisha club,ambiance,uwanja wa fisi HUKO KUNA MSAKO MKALI NA NINAHISI WAMEBADILI MBINU NA KUJA HUMU.
elimu yako haiwakilishi tabia zako.HATA CHUO KIKUU WANAJIUZA NA KOVA KAWAKAMATA NA MSAKO WAKE,mwananchi lilitafiti juu ya biashara ya ngono kwa wanafunzi.
YAANI MIAKA YOTE ULIYOISHI,KOTE ULIPOPITA NA UNAKOFANYIA KAZI KOTE HAUWAVUTII wanaume WATANGAZE NDOA KWAKO?Una tatizo.
 
hili limegeuzwa kuwa danguro.
SHAME ON YOU BOYS AND GIRLS,MEN AND WOMEN.
mtu humjui,hujawahi kumuona,hujui tabia zake.
UNAMWAMBIA NATAKA UNIOE nae anakujibu nipo tayari kukuoa.
1.hawa wanaotafta waume kwa kutoa namba wanataftwa na wangapi?Wanafikiaje uamuzi wa kuchagua ?Ama ndo ngono kila anaekuja kwake na hawaoani?
WOTE NI WAPENDA NGONO BILA KUCHAGUA NANI ANASTAHILI NA NANI HASITAHILI.
 
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

ni PM mimi ufaidi maisha mpenzi
 
Wakati unatafuta unaweza kua na mimi kwanza kwa muda. Ukishapata ndipo tuachane!!
 
Duh zali la mentali naona vigezo vyote mwake dada mimi nina wake wa3 nimebakisha m1 tu nitimize sunna ya mtume nadhani wewe unafaa sana kujaza nafasi hiyo niPM tufanye mchakato fasta kabla wake zangu wengine hawajashtukia mchezo!
 
please kama kweli unataka mme hebu piga namba hii sasa tujaribu kuongea na kufahamiana niko siliazi kweli nisingekupa namba km siko siliazi 0768907524 hata mimi nimwajiliwa.
 
hili limegeuzwa kuwa danguro.
SHAME ON YOU BOYS AND GIRLS,MEN AND WOMEN.
mtu humjui,hujawahi kumuona,hujui tabia zake.
UNAMWAMBIA NATAKA UNIOE nae anakujibu nipo tayari kukuoa.
1.hawa wanaotafta waume kwa kutoa namba wanataftwa na wangapi?Wanafikiaje uamuzi wa kuchagua ?Ama ndo ngono kila anaekuja kwake na hawaoani?
WOTE NI WAPENDA NGONO BILA KUCHAGUA NANI ANASTAHILI NA NANI HASITAHILI.


mbona umekurupuka man ... umeangalia upo jukwaa gani ..?!! unaweza ukalipotezea kama linakukera hivoo

 
Habari zenu wana JF.Mi ni m'ke(28yrs) ni mtumish wa umma.nahtaj mume.nimelazimika kuandka post hii jukwaan kwasababu real am in need of some1 to make a family wt.nimeajiriwa ktk wilaya moja ambayo ukweli hakuna xposure kabsaa.

kwa hiyo unaamini humu ndo kuna wenye exposure na mume mwema anaweza kupatatikana humu JF? Kama majina yao tu hawayaweki wazi tabia zao itakuwaje?

Nikutakie kila la heri watakuja very soon
 
Back
Top Bottom