Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Ndio ππππππkwani green card inahitaji na bank statement?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ππππππkwani green card inahitaji na bank statement?
wanaihitaji kwenye hatua gani ?Ndio ππππππ
Atakuwa mtu mjinga kweli kweli atakayempa bank statement kuwa yeye ndiye utakayekuwa sponsor wake, mtu mabye humfahau background history yake. Likitokea la kutokea huko mbele akifuatwa na kuambiwa yeye ndiye sponsor hivyo anatakiwa afanye mambo a,b,c, si itakuwa kilio? Au mara pap, jamaa anakwenda kufanya ugaidi, wanaanza kufuatilia nani alim-sponsor. Mpaka waje wakuelewe utakuwa umekiona cha mtema kuni.Hauna mahusiano mema na majirani na hata marafiki pia.
Ndio ππππππ
Zimebaki siku mbili umeshapata link ?Unataka bank statement ya sh ngapi??
Ata wewe una weza kumdhamini na ana kuwa ametimiza vigezoNakushauri tu sijui unaenda embassy gani ila kama una mzee au kaka ambaye ana bank statement ni vzur ukatumia hio majina yaonekane yanafanana...uwepo uzito flani wa aliekuzamini kama unataka usiende kunyimwa visa
Mimi pia nahitaji msaada kuhusu bank statement ya kuelekea china mwenye huwezo wa kunisaidia anicheki 0756 28 14 34Habar wadau,
Poleni na majukumu km kichwa Cha habar kisemavyo hapo juu, nahitaji mtu wa kunidhamini bank statement kwaajili ya matumiz ya safari ya nje.
Ambapo tutakubaliana atanitoza kiasi gani?
Kwa maelezo nicheki 0683263330
Nitafute, yangu ina laki 1Mimi pia nahitaji msaada kuhusu bank statement ya kuelekea china mwenye huwezo wa kunisaidia anicheki 0756 28 14 34
nichek mkuu 0748356331Mimi pia nahitaji msaada kuhusu bank statement ya kuelekea china mwenye huwezo wa kunisaidia anicheki 0756 28 14 34
Hii unatumia whasap ?nichek mkuu 0748356331
nichek mkuu 0748356331
Hakuna jirani anayeweza kurisk kukudhamini bank statementHauna mahusiano mema na majirani na hata marafiki pia.