Oooh sawa na veep kuhusu china ?Anayetaka kwenda amerika na ulaya ila ana miss baadhi ya taarifa, tutafutane ila hakuna cha bure! Utachangia na utasema una miss taarifa gani
Karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh sawa na veep kuhusu china ?Anayetaka kwenda amerika na ulaya ila ana miss baadhi ya taarifa, tutafutane ila hakuna cha bure! Utachangia na utasema una miss taarifa gani
Karibu
Oooh sawa na veep kuhusu china ?
China ni moja ya visa rahisi.Oooh sawa na veep kuhusu china ?
SureAtakuwa mtu mjinga kweli kweli atakayempa bank statement kuwa yeye ndiye utakayekuwa sponsor wake, mtu mabye humfahau background history yake. Likitokea la kutokea huko mbele akifuatwa na kuambiwa yeye ndiye sponsor hivyo anatakiwa afanye mambo a,b,c, si itakuwa kilio? Au mara pap, jamaa anakwenda kufanya ugaidi, wanaanza kufuatilia nani alim-sponsor. Mpaka waje wakuelewe utakuwa umekiona cha mtema kuni.
Sounds funWeka maelezo vizuri maana unaweza kupewa kabisa akaunti sio tu kudhaminiwa
FactNakushauri tu sijui unaenda embassy gani ila kama una mzee au kaka ambaye ana bank statement ni vzur ukatumia hio majina yaonekane yanafanana...uwepo uzito flani wa aliekuzamini kama unataka usiende kunyimwa visa
Shida hao matajiri nao wanataka matajiri wenzaoBado nasisitiza,hauishi vema na marafiki na majirani pia.Haiwezekani ukawa masikini halafu utafute marafiki masikini watupu.Haujajifunza kanuni ya royco mchuzi mix?
haipo whatsapp hiyoHii unatumia whasap ?
Saw nakucheki whasaphaipo whatsapp hiyo
ya whatsapp ni hii 0652823513
sio kweli green card haihitaji Chochote hata passport hawahitaji , ukisha chaguliwa kila kitu wanamaliza , kama bado hujafanya application za Dv njoo fasta nikusaidie .. bure .. na wewe mwenye kuhitaji bs .. njoo dm nikupe bs yangu inasoma vzr ..Ndio 😂😂😂😂😂😂
Jane naomba inbox pleaseNenda pale samora down town pale
Unapata ndani ya masaa tu na kiasi chochote unachotaka na bank yoyote unayotaka,
Na Bei nafuu sana