Nahitaji bank statement

Nahitaji bank statement

Oooh sawa na veep kuhusu china ?
China ni moja ya visa rahisi.

Ukijaza vizuri online, na ukawa na ID ya mchina kazi kwisha, hata bank statement hawachukui.

Kuna mtu nimemsaidia bank statement na barua ya kampuni, kufika kwenye interview wakamrudishia bank statement bila hata kuiangalia.
 
Atakuwa mtu mjinga kweli kweli atakayempa bank statement kuwa yeye ndiye utakayekuwa sponsor wake, mtu mabye humfahau background history yake. Likitokea la kutokea huko mbele akifuatwa na kuambiwa yeye ndiye sponsor hivyo anatakiwa afanye mambo a,b,c, si itakuwa kilio? Au mara pap, jamaa anakwenda kufanya ugaidi, wanaanza kufuatilia nani alim-sponsor. Mpaka waje wakuelewe utakuwa umekiona cha mtema kuni.
Sure
 
Nenda pale samora down town pale
Unapata ndani ya masaa tu na kiasi chochote unachotaka na bank yoyote unayotaka,

Na Bei nafuu sana
 
Ndio 😂😂😂😂😂😂
sio kweli green card haihitaji Chochote hata passport hawahitaji , ukisha chaguliwa kila kitu wanamaliza , kama bado hujafanya application za Dv njoo fasta nikusaidie .. bure .. na wewe mwenye kuhitaji bs .. njoo dm nikupe bs yangu inasoma vzr ..
 
Back
Top Bottom